Manengelo nakupenda

Na ulivyo mzuri na midaladala hiyo mie nacheka tuu.
Ila mwenzako ndiyo kakuelewa jamani mfikirie.

Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅daladala dar zimenikata 5kgs...yaan ni panda shuka panda shuka😑😑😑..nikishasahau kbs maisaha haya ..ila ntacope..huy mm sio size yangu mdogo wangu hakawii kukuletea flash memory yenye bongoflavas as gift😢..mimi nawaza juu yy anawaz chini...
 
Basi mwonjeshe tuu[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hata nyama sina, mifupa tuu mwili mzima dada. Kwako kapaelewa nyama za kutosha [emoji13][emoji13][emoji13]. Nimecheka jamani. Sijui aliwaza nini. Kwa hiyo kaja hadi pm?

Sent using Jamii Forums mobile app

😅😅huo mwili ndo wenyew sasa..ohoo..kalikuja toka juzi ..nikaopt kukaa kimya ..bas tu nakasamehe..!au ngoja nimgee@Felister mdogo wangu anasaidie kukua
 
Mimi hata nyama sina, mifupa tuu mwili mzima dada. Kwako kapaelewa nyama za kutosha [emoji13][emoji13][emoji13]. Nimecheka jamani. Sijui aliwaza nini. Kwa hiyo kaja hadi pm?

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaan kamenivurugia kweli haka..si unajua nw nipo mujini..ss km mtu alitaka niajiri si ashaogopa sasa jaman😣😣😣!alafu unipkee nikija dogo😊😊..nikiamua nahamia huko mazima naslim kbs
 
Yaan kamenivurugia kweli haka..si unajua nw nipo mujini..ss km mtu alitaka niajiri si ashaogopa sasa jaman[emoji21][emoji21][emoji21]!alafu unipkee nikija dogo[emoji4][emoji4]..nikiamua nahamia huko mazima naslim kbs
Kwa nini aogope na wakati atakuwa kajivunia kwamba kaajiri Mali inayopiganiwa kila mahali[emoji13][emoji13]. Karibu Dada tena hamia kabisa . si unajua vile natamani kutembea na wewe kila mahali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuingiza wimbo mmoja 200/-[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…