Maneno gani uliyokuwa unayatumia zamani?

Maneno gani uliyokuwa unayatumia zamani?

Kipusa=Demu=Girlfriend
Masai=Shs.100
Mkoko=Gari
Picha=Cinema
Piga miti=Lala na mwanamke
Kidosho= Msichana
Njugu= Pesa
Kishtobe= Matako makubwa
 
No sweet, - haina shida
Nyanga- shilling mia
Kokoto-kande
Makori- palachichi
Ngwira, supu ya mawe- gongo
Kudinya- kujamiana
bati-jeans
Mbaula_fiat
Njagu- afande
Jeans-gari peugeot (4*4)
Mapepe- papala
Kipapa,kutumbua, kipochi manyoa, - uke
Mawola- maji
 
Back
Top Bottom