πππππππππBaada ya utambulisho
Wakamwambia pembeni " demu wako kafanana na baba"
Wewe hujawahi kupewa neno moja tu ukajisikia vibaya?Usiruhusu moyo wako ukaumizwa kwa Mambo ya kijinga.
Ulinde sana moyo wako mwanadamu kuliko vyote uvilindavyo;maana kwenye moyo huko hutoka chemchemi za uzima
mkuu pole sana na una moyo,sie wazee wa ngumi mkonon Apo Kama sio teke lazma ningemmwagia matusiNakumbuka mwaka 2014 mwanzoni nilienda kufanya interview pale ukonga. Interview ilikua ni ya Jeshi la Zimamoto. Sasa sisi tulikua wengi sana hivyo ili zoezi liende kasi ilibidi wao mainterviewer wajigawe kwenye magroup matatu mule bwaloni.
Ilipofika zamu yangu niliingia na nikaangukia kwenye meza moja yenye wasaili watatu akiwepo mmama mmoja hivi mtu mzima na miwani yake.
Akaniambia nikae. Baada ya kuka akaamza kuniuliza jin langu nani, naishi wapi na shughuli yangu kwa wakati ule ilikua ni nini. Baada ya kumjibu hivyo, ilionekana kama namdanganya (nahisi alinifananisha na mtu mwingine) , na nilipojitetea zaidi akanambia kwa ukali, "shika vyeti vyako uondoke kwanza mdomo wako unanuka"
Kwakweli iliniuma sana hasa ukizingatia nilitokea mwanza kwa ajili ya hiyo interview.
Nilichojifunza baada ya miezi kadhaa ni kutolalamika sana kwani kila kitu kina sababu na Mungu mwenyewe ndie ajuae. Nadhani nilipo hapa ni pazuri zaidi kuliko nafasi niliyokua naitafuta Zimamoto.
Huwa napuuziaWewe hujawahi kupewa neno moja tu ukajisikia vibaya?
[emoji1][emoji1][emoji1]mkuu pole sana na una moyo,sie wazee wa ngumi mkonon Apo Kama sio teke lazma ningemmwagia matusi
π€£π€£π€£ watu wana roho mbayaBaada ya utambulisho
Wakamwambia pembeni " demu wako kafanana na baba"
πππ mpka naachana na binti yake tulikua hatuongeleshani naye.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama nauona mtungi wa Bibi yangu kule Moshi,jameni so mliishia wapi
Pole sana mkuuNyie siyo wa hapa baba yenu alioa porini.
Na alioa mchawi ndo maana hatuwahitaji..
Mpo hapa kwa sababu Tuu Alikuwa mtoto wangu wa kiume.
Mnataka kuishi hapa kamwe msimzungumzie mama yenu, alishakufa kitambo...
18 years later Tunakuja kugundua mama you hai...na walimyanganya Mali zote baba alipokufa.
me ningepigana aseeManeno ambayo sitakuja kusahau ni pale nilipo mpiga dogo mmoja hivi mpaka akazimia na hiyo yote sababu ya mazoea ya kijinga ambayo mm huwa siyapendi.
Ndipo mnoko mmoja akaenda kusema kwa mama yake kuwa nimemuua mtoto wake, muda si murefu yule mama akatimba eneo La tukio akionekana kaja kwa Shari
Alivyo fika tu akanitamkia maneno haya nanukuu "wewe Morgan ole wako mtoto wangu awe amekufa kweli utanitambua mm nani lasivyo utamla nyama ww niangalie tu na Sura yako mbaya kama UNAPULIZA MOTO" hii kitu hadi leo inaniumiza sana inanifanya kila nikiona bajaji au piki piki yenye kioo huwa naenda kujiangalia nione hiyo sura ya kupuliza moto inakuaje nawakati huo huwa na act kama napuliza moto huku najitazama.
Ushauri wangu kwa mtanzania yeyote yule asikubali kuitwa 'ana sura kama unapuliza moto'...Maana hili tusi ni zaidi ya fedhea coz nili hakikisha mwenywe na kujionea kuwa kumbe binadamu akiwa unapuliza moto ndivyo wanakuwa mbaya vile.
View attachment 1693384
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama nauona mtungi wa Bibi yangu kule Moshi,jameni so mliishia wapi
Ndio ni mm mkuu, ww Unaonaje nafanania na sura ya kupuliza moto?me ningepigana asee
Nje ya mada kwani huyo ndo ww mkuu kwenye hako kapicha
AmeeeenUsiruhusu moyo wako ukaumizwa kwa Mambo ya kijinga.
Ulinde sana moyo wako mwanadamu kuliko vyote uvilindavyo;maana kwenye moyo huko hutoka chemchemi za uzima
Hahahaha broo vp now yamekuja kama ya mtungikuna mzee mmoja alikua hataki nisitembee na binti yake.Sasa cku moja alinifata kijiweni mbele ya washkaji ngoja ni mnukuu "ctaki ufala wako kwangu unataka mwanangu aje azae mtoto ana mashavu kama mtungi" nilijickia vibaya sana kwa kudhalilishwa kule mbele ya watu nikajiondokea kwenda gheto kujiangalia kwenye kioo hayo mashavu kama mtungi lakin cku yaona.
Ila mapenz ndo kama aliyachochea binti alidata kupita maelezo.