Maneno gani ya dharua uliambiwa yakakuumiza sana

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Toka hapa mtu mwenyewe unanuka mkojo halafu unafata wanaume.....mbele ya darasa wanafunzi kibao....sisahau nikikumbuka naumia
 
"we na kuku mna tofauti gan ad nmemkumbuka ex wangu wa zaman"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…