Maneno gani ya Kiingereza ulikuja kujua baadaye yanasomwaje?

Maneno gani ya Kiingereza ulikuja kujua baadaye yanasomwaje?

Author

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
1,715
Reaction score
8,058
Wanaosema hii lugha ilikuja na meli hawakukosea. Kuna maneno ya Kiingereza nilikuwa nayatamka visivyo kwa kipindi kireeefu. Nimekuja gundua baadaye nikajiona kilaza sana. Haya baadhi ya maneno ambayo nilifahamu baadae matamshi yake sahihi:

1. Tier - nilikuwa nafananisha matamshi na Tyre

2. Sandals

3. Apprentice

4. Agent - nilikuwa nafananisha matamshi na Urgent

Kama kuna maneno na wewe yanakusumbua, njol tutoane ujinga [emoji4]
 
Yanaosumbua wengi

1. Enterpreneur, najua hii inasumbua wengi mpaka saivi..kuna wanaosema entaprenaa na kuna wataosema enteprenyua

2. Kuna Virtue - wengine watasema vichu wengine vachu
3. Kuna Value - wengine watasoma Valuu wengine Valyu

Mimi lililonisumbua personally ni Genuine. Nilikua natamka 'jinain' badala ya jenyuin
 
Wanaosema hii lugha ilikuja na meli hawakukosea. Kuna maneno ya Kiingereza nilikuwa nayatamka vizivyo kwa kipindi kireeefu. Nimekuja gundua baadae nikajiona kilaza sana. Haya baadhi ya maneno ambayo nilifahamu baadae matamshi yake sahihi:

1. Tier - nilikuwa nafananisha matamshi na Tyre

2. Sandals

3. Apprentice

4. Agent - nilikuwa nafananisha matamshi na Urgent

Kama kuna maneno na wewe yanakusumbua, njol tutoane ujinga [emoji4]
Neno NAIVE
 
Back
Top Bottom