Maneno gani ya Kiingereza ulikuja kujua baadaye yanasomwaje?

Maneno gani ya Kiingereza ulikuja kujua baadaye yanasomwaje?

Yanaosumbua wengi

1. Enterpreneur, najua hii inasumbua wengi mpaka saivi..kuna wanaosema entaprenaa na kuna wataosema enteprenyua

2. Kuna Virtue - wengine watasema vichu wengine vachu
3. Kuna Value - wengine watasoma Valuu wengine Valyu

Mimi lililonisumbua personally ni Genuine. Nilikua natamka 'jinain' badala ya jenyuin
Sio enterpreneur, andika hivi Entrepreneur
 
ngona nikazane kwenye spelling na maana zake kwa ajili ya kuandika. Lakini kutamka unayatamka haya maneno wapi, kwenye gulio?
 
ngona nikazane kwenye spelling na maana zake kwa ajili ya kuandika. Lakini kutamka unayatamka haya maneno wapi, kwenye gulio?
Hukohuko unakoyaandikia; siku utaambiwa, hemu soma hiki ulichoandika, ndipo utatumbua mimacho hiyo midogo na kuikumbuka thamani ya JF
 
Kiingereza kina tabia ya ajabu Sana kwa watanzania,utakuta mtu unajua kabisa yaani na unaweza kuandika hata kurasa 10 bila kukosea maana.lakini ukija kuongea sentensi tano hazifiki eti kishakuponyoka,huwa nashangaa Sana kwa kweli.aliyeleta hii light bongo,Mungu anamuona.
 
Wanaosema hii lugha ilikuja na meli hawakukosea. Kuna maneno ya Kiingereza nilikuwa nayatamka vizivyo kwa kipindi kireeefu. Nimekuja gundua baadae nikajiona kilaza sana. Haya baadhi ya maneno ambayo nilifahamu baadae matamshi yake sahihi:

1. Tier - nilikuwa nafananisha matamshi na Tyre

2. Sandals

3. Apprentice

4. Agent - nilikuwa nafananisha matamshi na Urgent

Kama kuna maneno na wewe yanakusumbua, njol tutoane ujinga [emoji4]
Packers (hutamkwa Pakaz kwa Kiswahili), mimi nilikuwa nasema Pekaz as in Tanganyika Packers.
 
Kiingereza kina tabia ya ajabu Sana kwa watanzania,utakuta mtu unajua kabisa yaani na unaweza kuandika hata kurasa 10 bila kukosea maana.lakini ukija kuongea sentensi tano hazifiki eti kishakuponyoka,huwa nashangaa Sana kwa kweli.aliyeleta hii light bongo,Mungu anamuona.
Siyo English tu, bali "killer loo-gar" inayozungumzwa inakuwa na sifa hiyo. Skills za lugha ni 4:
  • KUSOMA
  • KUSIKILIZA
  • KUANDIKA
  • KUZUNGUMZA
Sasa, ulemavu tunajitakia wenyewe wakati wa kujifunza. Unapata tunda la mti ulioupanda mwenyewe. Imagine kuna mtu anaweza kuzungumza kwa ufundi, mvuto na ufasaha mkubwa, lakini akipewa kusoma ni majanga.
 
We-yeah, Far-two-mar, killer key two chain-knew key-now-a-car motto come-bee-knee per-lay Ma-sir-key.

Weyeah, Fatuma, kila kitu chenu kinawaka moto kambini pale Masaki
 
Back
Top Bottom