Kamwene!
Wandugu, maneno haya ukitoa herufi moja au mbili utakuwa umeharibu maana kama sio KUTUKANA. Au ukitamka ndivyo sivyo.
1. Mbao. Ukitoa m
2. Komaa. ukitoa a
3. Kura. ukitamka kula
4. Mahari. ukitamka mahali.
5. Ndoano. ukitoa no
6. .........
Ongeza hiyo#6, 7,8....
Ongeza kinamba alipoishia mwenzio ili tujue idadi ya maneno ambayo tunatakiwa kuwa makini nayo!
NAWASILISHA
Wandugu, maneno haya ukitoa herufi moja au mbili utakuwa umeharibu maana kama sio KUTUKANA. Au ukitamka ndivyo sivyo.
1. Mbao. Ukitoa m
2. Komaa. ukitoa a
3. Kura. ukitamka kula
4. Mahari. ukitamka mahali.
5. Ndoano. ukitoa no
6. .........
Ongeza hiyo#6, 7,8....
Ongeza kinamba alipoishia mwenzio ili tujue idadi ya maneno ambayo tunatakiwa kuwa makini nayo!
NAWASILISHA