Maneno haya ya Kiarabu yana maana gani katika nembo ya Zanzibar University ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni Kiingereza na Kiswahili?

Nimesema hivi ndugu yangu;

ANGALIZO/TAHADHARI: Ninaomba tuepeka kabisa comments za kisiasa, udini (uislamu na ukristo) pamoja na ukabila (uzanzibar pamoja na ubara) kwa maana sio lengo la mada hii.
 
Ushaambiwa private
 
Msiwapangie
 



Maana yake ni Zanzibar University kama ilivyoonyeshwa hapo juu mkuu.
Pia kuhusu usahihi au uhalali wa kuandika hivyo naona haina shida kwa vile ni chuo binafsi chenye ufadhili wa kutoka huko huko kwa taasisi ya kiislam ambao kuendeleza utamaduni wa kiarabu inaweza kuwa moja ya malengo yao.

Mwisho, kiarabu ni lugha kama ilivyo lugha zingine, kiarabu sio uislam japo vina mahusiano.
 
Hyo ya kiislam umeongeza wewe HAIPO HAPO.
USIPOTOSHE WATU.
NI "JAMIAT ZANZIBAR".
chuo kikuu Cha Zanzibar.
Sio chuo kikuu Cha kiislam Cha Zanzibar
 
Imeandikwa kwa kiarabu chuo kikuu Zanzibar (jamiat Zingibar)
 
Hyo ya kiislam umeongeza wewe HAIPO HAPO.
USIPOTOSHE WATU.
NI "JAMIAT ZANZIBAR".
chuo kikuu Cha Zanzibar.
Sio chuo kikuu Cha kiislam Cha Zanzibar
Ni kweli mkuu nilikosea kuweka hiyo " cha kiislamu"

Kama kukosea ni kupotosha basi ni kweli nikitaka kupotosha.
 
Hapo sawa.
Kuna watu humu wakishaanza kuleta udini.
Ndo maana nikakusahihisha.
Watu wengi hawajui kuwa kiarabu ni lugha Kama kimakonde,kichina,kijerumani n.k.
Mtu hakushangaa hyo ZANZIBAR UNIVERSITY.
lakini anakuja kushangaa "JAMIAT ZANZIBAR".
kumbe maana yake ni moja.
CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR
Ni kweli mkuu nilikosea kuweka hiyo " cha kiislamu"

Kama kukosea ni kupotosha basi ni kweli nikitaka kupotosha.
 
Nimeedit.

Lakini pia mtu anapofanya kinyume na usahihi jifunze kukosoa kistaarabu,sio kwamba imeniuma hapana ila tu katika kumkosoa mtu mkosoaji pia anaweza kukosea njia ya kukosoa.
 
Utakuwa una matatizo yako binafsi.
Nimeedit.

Lakini pia mtu anapofanya kinyume na usahihi jifunze kukosoa kistaarabu,sio kwamba imeniuma hapana ila tu katika kumkosoa mtu mkosoaji pia anaweza kukosea njia ya kukosoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…