Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #61
Mbona wewe umeuliza?Mbona lugha iliyoandikwa kwenye US Dollar siyo English wakati Americans wanazungumza English kama lugha ya taifa na hamuulizi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kikiwekwa kiarabu mnateseka?mtakufa na vijiba vya roho.Kiarabu si lugha ya taifa (Bara na Visiwani)
alalamike na mlango wa kuingilia ikulu umendikwa أدخلوها بسلام آمنينKuna baadhi sehemu nilikuta ni taasisi ya kulelea watoto Yatima ya kanisa katoliki bango lao limeandika kwa kilatini na chini limepitishwa maneno ya kingereza...Taasisi ya kichina confusius UDSM wameanza na Kichina wakamalizia na kingereza kwa hiyo hilo jambo sio geni
Dah....ukiwa na muda wa ziada...jifunze lugha za aina mbalimbali...kimanyema...kimasai...kifaransa..kifipa...kidachi….utayaona maisha rahisi sana... 🤭Ulipoanza na hili neno 'Dah' ni kama unafikiri kila mtu anaijua hiyo lugha yenu...
Maisha yanakua marahisi kwa hela, huna hela unataka kujua kidachi cha nini?Dah....ukiwa na muda wa ziada...jifunze lugha za aina mbalimbali..….utayaona maisha rahisi sana... 🤭
Dah...siku ukikutana na pisi kali ya kidachi ndiyo utajua umuhimu wake 🤣 🤣🤣🤭Maisha yanakua marahisi kwa hela, huna hela unataka kujua kidachi cha nini?
Si hadi nikutane nae....ili nikutane nae hela lazima iwepo na hela kuwepo ni pale tareh 28 mabadiliko yatokeeDah...siku ukikutana na pisi kali ya kidachi ndiyo utajua umuhimu wake 🤣 🤣🤣🤭
Dah.... yaani umeweka mategemeo yako yote kwenye tarehe 28? Kwani wamekuahidi nini mkuu? 🤣Si hadi nikutane nae....ili nikutane nae hela lazima iwepo na hela kuwepo ni pale tareh 28 mabadiliko yatokee
Uhuru + Haki + maendeleoDah.... yaani umeweka mategemeo yako yote kwenye tarehe 28? Kwani wamekuahidi nini mkuu? 🤣
Dah...mmeandikishiana kisheria? 🤣 🤣🤭Uhuru + Haki + maendeleo
Tunaandikishana kwenye boksi la kuraDah...mmeandikishiana kisheria? 🤣 🤣🤭
Dah....kila la heri mkuu...ila huwa wanabadilika hawa 🤣 🤣🤣🤭Tunaandikishana kwenye boksi la kura
Robert yuko, saivi ni faili linasukwa hlf ni The Hegiii dairekti!Dah....kila la heri mkuu...ila huwa wanabadilika hawa 🤣 🤣🤣🤭
Dah...atalipwa nini msuka faili ? 🤣 🤣Robert yuko, saivi ni faili linasukwa hlf ni The Hegiii dairekti!
Just go to translation tabShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania, eti;
Maneno haya ya kiarabu yana maana gani katika nembo ya "Zanzibar University" ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni kiingereza pamoja na Kiswahili?
MAELEZO MACHACHE SANA KUHUSIANA NA "ZANZIBAR UNIVERSITY"
=========
The Zanzibar University (ZU) is a private university in Zanzibar, Tanzania. It opened in 1998 as the first university in Zanzibar, is a private university sponsored by the Darul Iman Charitable Association, an Islamic religious organization in Ontario, Canada. It is situated at Tunguu area, in the Central District, some 12 miles (19 km) from Zanzibar Town. The University campus, with a total area of 170 acres (0.69 km2) of land, is located among quiet countryside surroundings overlooking the Indian Ocean. There is public transport to the University.
=========
ANGALIZO/TAHADHARI: Ninaomba tuepeka kabisa comments za kisiasa, udini (uislamu na ukristo) pamoja na ukabila (uzanzibar pamoja na ubara) kwa maana sio lengo la mada hii.
Sisi watanzania wote ni ndugu na wamoja licha ya tofauti zetu chache (Minor Differences) na sote tuungane katika kutatua changamoto zetu za kitaifa ili tuweze kusonga mbele zaidi kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mkuu mbona maelezo uliyotoa hapo yana majibu ya mawsali yako yote, kwanza umesema ni private university, pili iko owned na organization ya kidini ya kiislam, sasa mpaka hapo bado una swali la kutaka kujua kwa nini ina maneno ya kiarabu????? google hata logo ya Saut utaona pia ina biblia na msalaba!!!Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania, eti;
Maneno haya ya kiarabu yana maana gani katika nembo ya "Zanzibar University" ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni kiingereza pamoja na Kiswahili?
MAELEZO MACHACHE SANA KUHUSIANA NA "ZANZIBAR UNIVERSITY"
=========
The Zanzibar University (ZU) is a private university in Zanzibar, Tanzania. It opened in 1998 as the first university in Zanzibar, is a private university sponsored by the Darul Iman Charitable Association, an Islamic religious organization in Ontario, Canada. It is situated at Tunguu area, in the Central District, some 12 miles (19 km) from Zanzibar Town. The University campus, with a total area of 170 acres (0.69 km2) of land, is located among quiet countryside surroundings overlooking the Indian Ocean. There is public transport to the University.
=========
ANGALIZO/TAHADHARI: Ninaomba tuepeka kabisa comments za kisiasa, udini (uislamu na ukristo) pamoja na ukabila (uzanzibar pamoja na ubara) kwa maana sio lengo la mada hii.
Sisi watanzania wote ni ndugu na wamoja licha ya tofauti zetu chache (Minor Differences) na sote tuungane katika kutatua changamoto zetu za kitaifa ili tuweze kusonga mbele zaidi kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Unapataje tabu ya kumjibu mjinga???Hata visima vya maji au vituo vya watoto yatima vilivyo jengwa na waturuki mabango yao yameandikwa kwa lugha ya kituruki.
Sidhani kama kuna tatizo kwa Chuo kilichojengwa na taasisi ya dini (kiislam) kuwa na maandishi ya kiarabu kwasababu ndio taratibu zao za imani, hata misikiti mingi ina maandishi ya kiarabu japo kiarabu sio lugha ya taifa, na makanisa mengi ya katoliki (RC) utakuta maandishi ya kilatini japo kilatini sio lugha ya taifa.
Sijui maana yake lakini nahisi ndio hiyo ya jina la taasisi hiyo iliyojenga Chuo hicho!
Si unajua tena mikaf.....Huyo tatizo lake ni kuona hayo maandishi ni kwa lugha ya Kiarabu tuu,halafu kajiwahi kutoa angalizo kua hataki malumbano ya Udini au Siasa!