Maneno haya ya Kiarabu yana maana gani katika nembo ya Zanzibar University ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni Kiingereza na Kiswahili?

Maneno haya ya Kiarabu yana maana gani katika nembo ya Zanzibar University ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni Kiingereza na Kiswahili?

Kiarabu si lugha ya taifa (Bara na Visiwani)
Kwani kikiwekwa kiarabu mnateseka?mtakufa na vijiba vya roho.
lwa faida tu جامعة زنجبار maana yake ni Zanzibar university kwa English,halafu nani aliesema kuwa Zanzibar kuna lugha mbili?sehemu gn umeona hiyo?na ok let us say ni lugha mbili,je ni kosa kisheria kuandika kiarabu taasisi binafsi?hebu tupishe.
 
Kuna baadhi sehemu nilikuta ni taasisi ya kulelea watoto Yatima ya kanisa katoliki bango lao limeandika kwa kilatini na chini limepitishwa maneno ya kingereza...Taasisi ya kichina confusius UDSM wameanza na Kichina wakamalizia na kingereza kwa hiyo hilo jambo sio geni
alalamike na mlango wa kuingilia ikulu umendikwa أدخلوها بسلام آمنين
tena ni aya hiyo ndani ya quran aseme na huo ni udini ikafutwe au chini iandikwe timotheo 2 : 7
 
Ulipoanza na hili neno 'Dah' ni kama unafikiri kila mtu anaijua hiyo lugha yenu...
Dah....ukiwa na muda wa ziada...jifunze lugha za aina mbalimbali...kimanyema...kimasai...kifaransa..kifipa...kidachi….utayaona maisha rahisi sana... 🤭
 
Kwanza hiyo ni Private Uni kama ilivyojieleza
Pili lugha inatumika kama watumiaji ni wengi au kwa taasisi iliyodhamini
Kuna sehemu nyingi duniani wanatumia majina kama ya mitaa kwa lugha mbili ya nchi na lugha nyingine ili waliopo maeneo wajue
Kwa mfano China Town ya London wameandika majina ya mitaa kwa kiingereza na Kichina
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu Watanzania, eti;

Maneno haya ya kiarabu yana maana gani katika nembo ya "Zanzibar University" ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni kiingereza pamoja na Kiswahili?


MAELEZO MACHACHE SANA KUHUSIANA NA "ZANZIBAR UNIVERSITY"
=========
The Zanzibar University (ZU) is a private university in Zanzibar, Tanzania. It opened in 1998 as the first university in Zanzibar, is a private university sponsored by the Darul Iman Charitable Association, an Islamic religious organization in Ontario, Canada. It is situated at Tunguu area, in the Central District, some 12 miles (19 km) from Zanzibar Town. The University campus, with a total area of 170 acres (0.69 km2) of land, is located among quiet countryside surroundings overlooking the Indian Ocean. There is public transport to the University.
=========

ANGALIZO/TAHADHARI: Ninaomba tuepeka kabisa comments za kisiasa, udini (uislamu na ukristo) pamoja na ukabila (uzanzibar pamoja na ubara) kwa maana sio lengo la mada hii.

Sisi watanzania wote ni ndugu na wamoja licha ya tofauti zetu chache (Minor Differences) na sote tuungane katika kutatua changamoto zetu za kitaifa ili tuweze kusonga mbele zaidi kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Just go to translation tab

English to Arab

Andika UNIVERSITY

Utajua maana ya hayo maneno ya kiarabu.

Mwenye shida ya kitoweo usimpe samaki mpe mshipi wa ndoano.

*Je wajua?*

-Langu kuu la kuingia jumba la Ikulu ya magogoni Dar Us Salaam* pameandikwa maneno ya kiarabu ayah ya 46 surat hijr isemayo

*Udkhulu-ha bi-salamin aminina*

Ingia ktk lango salama.



-Je wajua Kwamba St Joseph Cathedral ilikuwa ni jengo la msikiti na ni kanisa pekee ambalo lina limeelekea Qibla na langoni kulikuwa na maandishi ya kiarabu


Majengo yote haya yalijengwa kwa pesa za waarabu
 

Attachments

  • download (1).jpeg
    download (1).jpeg
    8.6 KB · Views: 4
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Ndugu zangu Watanzania, eti;

Maneno haya ya kiarabu yana maana gani katika nembo ya "Zanzibar University" ilhali lugha rasmi za taifa (Bara na Visiwani) ni kiingereza pamoja na Kiswahili?


MAELEZO MACHACHE SANA KUHUSIANA NA "ZANZIBAR UNIVERSITY"
=========
The Zanzibar University (ZU) is a private university in Zanzibar, Tanzania. It opened in 1998 as the first university in Zanzibar, is a private university sponsored by the Darul Iman Charitable Association, an Islamic religious organization in Ontario, Canada. It is situated at Tunguu area, in the Central District, some 12 miles (19 km) from Zanzibar Town. The University campus, with a total area of 170 acres (0.69 km2) of land, is located among quiet countryside surroundings overlooking the Indian Ocean. There is public transport to the University.
=========

ANGALIZO/TAHADHARI: Ninaomba tuepeka kabisa comments za kisiasa, udini (uislamu na ukristo) pamoja na ukabila (uzanzibar pamoja na ubara) kwa maana sio lengo la mada hii.

Sisi watanzania wote ni ndugu na wamoja licha ya tofauti zetu chache (Minor Differences) na sote tuungane katika kutatua changamoto zetu za kitaifa ili tuweze kusonga mbele zaidi kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mkuu mbona maelezo uliyotoa hapo yana majibu ya mawsali yako yote, kwanza umesema ni private university, pili iko owned na organization ya kidini ya kiislam, sasa mpaka hapo bado una swali la kutaka kujua kwa nini ina maneno ya kiarabu????? google hata logo ya Saut utaona pia ina biblia na msalaba!!!
 
Hata visima vya maji au vituo vya watoto yatima vilivyo jengwa na waturuki mabango yao yameandikwa kwa lugha ya kituruki.

Sidhani kama kuna tatizo kwa Chuo kilichojengwa na taasisi ya dini (kiislam) kuwa na maandishi ya kiarabu kwasababu ndio taratibu zao za imani, hata misikiti mingi ina maandishi ya kiarabu japo kiarabu sio lugha ya taifa, na makanisa mengi ya katoliki (RC) utakuta maandishi ya kilatini japo kilatini sio lugha ya taifa.

Sijui maana yake lakini nahisi ndio hiyo ya jina la taasisi hiyo iliyojenga Chuo hicho!
Unapataje tabu ya kumjibu mjinga???

Ungemuacha tu. Yeye analouliza ni zaidi ya hilo alilouliza lakini kwa kuwa ni mjinga hawezi kuuliza hilo analotaka kuuliza kwa namna sahihi ya kuliulizia.
 
Back
Top Bottom