Acha wivu....njoo kwangu bado nakutaka!Me sio kaka nitake radhi au unaona mwanamke humu jf ni miss natafuta pekeee na hakukubali
Usicheke Jolie jamaa kapagawa na comments za chibonge[emoji23] [emoji23]
ouh sorry dada Shunie naomba radhi kwa hilo kama nimekera,nashukuru kwa kunielekeza kwa upole mana kuna watu ukimuita kaka na ilhali yeye ni dada atatukana sana matusi ataona kama umemdharau,lakini wewe dada una element za ustarabu kwa kweli.Me sio kaka nitake radhi au unaona mwanamke humu jf ni miss natafuta pekeee na hakukubali
Hahahaa yan humu kuna vituko vya ajabu sana,yan unaweza kukuta mtu anajiuliza na kujijibu mwenyew,anajitukana na matusi ya nguon hahahaba kumbe bana shekhe ni yul yule kasoro kanzumaaana humu ndani userious niliisha uvua kwaiyo naendana tu na current flow.. ile pressure ilinisumbua aiseee
Jolie hujambo?Hahahahaaha daaaah!
ah ha ha ha huwenda mungu ndo kanitunzia mimi huo utamu,mana hata mimi mwenyewe nataka huyo Miss Natafuta awasifie wanaume wote kupitia mimi nadhani wakati mwingine kuna wajinga walimsbua,lakini mimi nataka niwawakilishe wanaume kwa huyu miss wa moyo wanguNahisi nishawai kumuona Ila sina uhakika kama ni yeye by the chase your dream Ila kama kweli hajaguswa muda mrefu atakuwa mtamu sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sijambo kaka,kwema?Jolie hujambo?
Ukikuta usichokitarajia je maana nyuma ya keyboard kuna mengi ambayo huyajui[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]ah ha ha ha huwenda mungu ndo kanitunzia mimi huo utamu,mana hata mimi mwenyewe nataka huyo Miss Natafuta awasifie wanaume wote kupitia mimi nadhani wakati mwingine kuna wajinga walimsbua,lakini mimi nataka niwawakilishe wanaume kwa huyu miss wa moyo wangu
si unakumbuka ule msemo wa mbuzi kafia kwa muuza supu..Usicheke Jolie jamaa kapagawa na comments za chibonge
Hahaha najua fika uliiona picha haha mleta mada hakuonaUsicheke Jolie jamaa kapagawa na comments za chibonge
mkuu unajua moyo ni kama askari wa vitani.Ukikuta usichokitarajia je maana nyuma ya keyboard kuna mengi ambayo huyajui[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Nafurai kuskia hujambo, nimekumiss malkia wa nguvu [emoji3]Sijambo kaka,kwema?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimekumis piaNafurai kuskia hujambo, nimekumiss malkia wa nguvu [emoji3]
Ni kweli nakubali hoja yakomkuu unajua moyo ni kama askari wa vitani.
moyo unaishi kutokana na mazingira mkuu,ni kama askari wa vitani akienda vitani akakuta mazingira sio rafiki basi atatafuta njia nyenyine ya kusurvive.
utashangaa hana godoro wala mto,lakini akifika vitani hali ikiwa ngumu halali kwa hvyo gorodo halina maana,au akilala basi nguo zake ndiyo godoro na lile begi ndiyo mto wa kuegamia kichwa.
na moyo unakuwa hivyo hivyo mkuu,moyo wenye kupenda basi unaishi kwa mujibu wa mazingira ya yule umpendae huo moyo.
NakujaAcha wivu....njoo kwangu bado nakutaka!
Ameen akutangulie na wewe kwenye swala lako la kumtaka miss natafutaouh sorry dada Shunie naomba radhi kwa hilo kama nimekera,nashukuru kwa kunielekeza kwa upole mana kuna watu ukimuita kaka na ilhali yeye ni dada atatukana sana matusi ataona kama umemdharau,lakini wewe dada una element za ustarabu kwa kweli.
MungUK akutangulie katika mambo yako na ayanyooshe kwa ujumla
Kwahiyo huyu ni naniHahahaa yan humu kuna vituko vya ajabu sana,yan unaweza kukuta mtu anajiuliza na kujijibu mwenyew,anajitukana na matusi ya nguon hahahaba kumbe bana shekhe ni yul yule kasoro kanzu
Amen mkuu nashkuru.Ameen akutangulie na wewe kwenye swala lako la kumtaka miss natafuta
Ndo zako![emoji23] [emoji23]