Maneno maarufu secondary za bweni

Funga- kujaziwa msosi
Panga- kupunjwa msosi
Chai chuma- chai bila kitafunwa
Kurinyuu-kurudia msosi
Ugali gomba-ugali na mboga za majani
Top ten-kuwahi msosi wa kwanza kwanza
 
Uchizi....chooni,,,ng'onda....sox
 
Mzaire= room mate
Cheche= wali
Nguna= ugali
Kisololi sahani
Kiviringililo= sconzi.
Nyoka= form 1
Nyoka wa kiangazi= f5
 
Kijogoo - kiporo
Nyali - Wali
Salo- Mboga Mboga
Mongwe - Kuishiwa Hela
Zongwe - Narrow body fly (Nairobi fly)
Chatu Zone - Sehemu Yenye Chatu
Drip - Maji Ya Kandolo..
Kilei - Kilakala
Kiange/Bhangi - Simu
Kuchoma - Kuingia Na Viatu Bwenini
Ku Move - Kuamka Usiku Kwaajili Ya Msuli
Kionji - Kulala / Mtu Anayependa Kulala.
Ngama - Ugali
Addit - Nyongeza Ya Msosi
Kumiss- Kukosa Msosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…