Maneno makali

Maneno makali

Gaddaf i06

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
1,770
Reaction score
2,841
Hai..

Mtu anaweza kuelezea hoja yake kwa Kiswahili. Akifika pahala fulani anabadili lugha kuashiria kwamba anapunguza ukali wa neno!

Je, neno kali, ni kwanini tunaliita "kali" na bado tunaweza kunalisema/kulitamka kwa Kingereza?

Je, Kingereza ndiyo lugha inayotumika kutamkia maneno makali?

Je, Waingereza wao maneno makali wanayatamka kwa lugha gani?

(najaribu kufikiri kwa sauti)
 
Wanayatamka kwa hicho hicho kiingereza chao tu.

Kiingereza ni lugha pana sana ambayo Ina utajiri wa maneno ila kiswahili hakina utajiri wa maneno ndo maana baadhi ya maneno ya kiingereza yanatoholewa na kukopwa (verbertim) katika lugha ya kiswahili.

Kwa mfano neno Kama f*cking haliwezi kutafsiriwa kwa kiswahili Moja kwa Moja.
 
Wanayatamka kwa hicho hicho kiingereza chao tu.

Kiingereza ni lugha pana sana ambayo Ina utajiri wa maneno ila kiswahili hakina utajiri wa maneno ndo maana baadhi ya maneno ya kiingereza yanatoholewa na kukopwa (verbertim) katika lugha ya kiswahili.

Kwa mfano neno Kama f*cking haliwezi kutafsiriwa kwa kiswahili Moja kwa Moja.
Kiswahili ni lugha Pana Sana na ila uvivu unafanya watu kukosa msamiati. Masuala yakukopa au kutohoa lugha zote hutumia mfumo huo hasa Kwa vitu visivyo vya asili yake. Kiingereza Kina maneno mengi tu toka kigiriki na kilatini
 
Mimi nafi:
Wanayatamka kwa hicho hicho kiingereza chao tu.

Kiingereza ni lugha pana sana ambayo Ina utajiri wa maneno ila kiswahili hakina utajiri wa maneno ndo maana baadhi ya maneno ya kiingereza yanatoholewa na kukopwa (verbertim) katika lugha ya kiswahili.

Kwa mfano neno Kama f*cking haliwezi kutafsiriwa kwa kiswahili Moja kwa Moja.
sisi ni watu tuliojaaliwa kuwa na kaaibu ndio maana tuna kitu kinaitwa maneno "makali" sio makali ispokuwa nature yetu!
 
Kiswahili ni lugha Pana Sana na ila uvivu unafanya watu kukosa msamiati. Masuala yakukopa au kutohoa lugha zote hutumia mfumo huo hasa Kwa vitu visivyo vya asili yake. Kiingereza Kina maneno mengi tu toka kigiriki na kilatini
[emoji3] umenikumbusha: Kuna jamaa aliuliza kwamba "two night" inatafsiriwaje kwa kisw?
 
Wanayatamka kwa hicho hicho kiingereza chao tu.

Kiingereza ni lugha pana sana ambayo Ina utajiri wa maneno ila kiswahili hakina utajiri wa maneno ndo maana baadhi ya maneno ya kiingereza yanatoholewa na kukopwa (verbertim) katika lugha ya kiswahili.

Kwa mfano neno Kama f*cking haliwezi kutafsiriwa kwa kiswahili Moja kwa Moja.
https://jamii.app/JFUserGuide si ngono/kujamiiana! Mbna rahisi sana tu!.
 
Hai..

Mtu anaweza kuelezea hoja yake kwa Kiswahili. Akifika pahala fulani anabadili lugha kuashiria kwamba anapunguza ukali wa neno!

Je, neno kali, ni kwanini tunaliita "kali" na bado tunaweza kunalisema/kulitamka kwa Kingereza?

Je, Kingereza ndiyo lugha inayotumika kutamkia maneno makali?

Je, Waingereza wao maneno makali wanayatamka kwa lugha gani?

(najaribu kufikiri kwa sauti)
Wazungu ushubwada
 
"Wasimbe" (Single mothers) ni kiswahili fasaha au vipi?
 
Back
Top Bottom