Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nakupenda naomba niwe MKALIMANI WAKO....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi pesa tuu. Bila pesa utakula wale mama huruma a. K. A single mamamamaIli uweze kumpata kirahisi mwanamke unayemtaka unatakiwa kujifunza mbinu mpya za kutongoza. Wengi wanashindwa kuwapata watoto wanaowapenda kwa sababu ya kutumia maneno ya kawaida au ambayo yamepitwa na wakati.
Hivyo ili uweze kumpata mwanamke unayempenda kwa dhati basi unatakiwa kujifunza kutumia maneno yafuatayo;
1. Nipe makinikia ya moyo wako.
2. Naahidi kulipa mirahaba yako na kodi zote za mapenzi.
3. Sitakudanganya kiwango cha madini kilichoko kwenye mchanga wa madini ya mapenzi kama acacia.
4. Please usizuie contena la mchanga wa madini ya penzi langu kwenye bandari ya moyo wako.
5. Usiniundie kamati za marafiki zako kufanya uchunguzi wa makanikia ya upendo wangu.
6. Usinitangaze kuwa naiba utajiri wa mgodi wa moyo wako hadharini mbele ya vyombo vya habari.
7. Nitakuomba ukae kwenye meza ya mazungumzo ili uniruhusu kuchimba sukari ya moyo wako.
8. Usiwahusishe viongozi wastaafu ma X wako katika ombi langu sababu wengine watakuwa walikusainisha mikataba mibovu ikakuumiza na wengine wamepumzika baada ya kazi kubwa ya kulijenga taifa la moyo wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akipigwa swali moja tu na mwanamke ambalo hakuli-anticipate, makinikia yote ya kutongozea yanapotea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Inaonekana unaanda maneno kabla ya kwenda kutongoza
Hakika mkuu, kutongoza hakuna formula ni kuja tu kucheza na akili ya mwanamwaliAkipigwa swali moja tu na mwanamke ambalo hakuli-anticipate, makinikia yote ya kutongozea yanapotea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]