Maneno mapya unayopaswa kuyatumia wakati wa kutongoza

Siku hizi pesa tuu. Bila pesa utakula wale mama huruma a. K. A single mamamama

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Aisee.. hivi mwanaume smart utaanzaje kukariri maneno ya kutongoza?

Sio mbaya, unaweza kwel ukakariri yote.. Sasa kwa mfano umemwambia hyo verse yako ya kwanza halaf akakupa jibu tofaut na ulivyotegemea au akaamua kuchomeka mada nyingine, nini kitafuata?

Anyway, Madomo zege on duty!!
 
Bila noti hap ni sawa sawa na choo bila mlango utaishia tu kubanwa na haja na huna pa kunyea na choo kipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…