uko sahihi ila niongeze kidogo kuwa uzinzi ni tabia ya kufanya zinaa. kimsingi hata uasherati ni aina mojawapo ya uzinzi. so uzinzi unacover vyote. hata mtu amabye hajaoa akiwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu mwingine ni kusema kuwa anafanya mapenzi na mtu asiye mke wake na hivyo ni uzinzi pia. na huu ndio uliopewa jina uasherati ila bado kimsingi ni uzinzi uleule. kuna mtu ametaka kujua na ngono pia ni nini? ngono ni tendo la kijamiiana ama coitus kwa kingereza. ni neno laini kutamka kwa kiswahili kwa mujibu wa maadili yetu ila kuna neno gumu kidogo kutamka ama kuandikika na naamini unalielewa. mara nyingi tabia ya uzinzi hujuimuisha ama hukamilishwa na kukolezwa na zawadi ya tendo ngono, ila in some circumstances waweza kuwfanya uzinzi bila ngono kufanyika. kibiblia, tendo lolote la kunajisi imani pia hufananishwa na uzinzi, mfano kuabudu sanamu nk