Maneno mazito ya Ivan kwa Zari

Maneno mazito ya Ivan kwa Zari

Safi Diamond wakong'oli na jingine mpaka waombe pooooo!
 
Wakat akiendelea kuomba msamaha akajibiwa ...."Acha mimi masikini na wanangu tutaishi vizuri katika nyumba ya kupanga, wewe tajiri ishi na wanao ktk nyumba ya kununua na mwenzio."

Diamond if he is a real man as he claims himself namshaur aende uganda akaongee man to man na mshikaj yaishe tu maana i can sense something fishy coming along the way...

Diamond pesa zisikuchanganye kias hicho you are better than that.
Akaongee nae nini??, kila mmoja na wakati wake, alee watoto wake na diamond afanye hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom