Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
1. Kwamba Mgunda na andazi bora andazi?
2.Kwamba washauri wa Feitoto na andazi bora andazi?
3.Kwamba Yanga ndio ya kwanza Tanzania kucheza fainal kombe la CAF?
4.Kwamba Simba njooni uwanjani kuona Yanga ikimfunga mwarabu.
Maneno hayo yalitukera sana, sana, mlikosa heshima na adabu.Dharau kwa watani wenu zilikuwa kubwa sana.Watu tulikuwa hatunywi, hatuli kwa makelele yenu na mijezi yenu meusi kama kunguru.
Sasa niwaambie ile USM ni ya kawaida t umekufa 2 kwa lupaso, je ungecheza na Wydad ingekuwaje, si ungevunja timu
2.Kwamba washauri wa Feitoto na andazi bora andazi?
3.Kwamba Yanga ndio ya kwanza Tanzania kucheza fainal kombe la CAF?
4.Kwamba Simba njooni uwanjani kuona Yanga ikimfunga mwarabu.
Maneno hayo yalitukera sana, sana, mlikosa heshima na adabu.Dharau kwa watani wenu zilikuwa kubwa sana.Watu tulikuwa hatunywi, hatuli kwa makelele yenu na mijezi yenu meusi kama kunguru.
Sasa niwaambie ile USM ni ya kawaida t umekufa 2 kwa lupaso, je ungecheza na Wydad ingekuwaje, si ungevunja timu