Maneno mliyamaliza Yanga, Wazee walichukia

Maneno mliyamaliza Yanga, Wazee walichukia

Leo hata sports extra na ile ya wasafi zimekuwa ngumu kuskilizika,sports HQ ya efm ndo kabisaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Manina Alex Lwambano alivyokuwa anaipamba yanga hatari. Sasa wamepoteana manina walikuwa wanabeza robo finali za club bingwa kwa kulinganisha na madhindano ya ndondo pumbafu
 
1. Kwamba Mgunda na andazi bora andazi?

2.Kwamba washauri wa Feitoto na andazi bora andazi?

3.Kwamba Yanga ndio ya kwanza Tanzania kucheza fainal kombe la CAF?

4.Kwamba Simba njooni uwanjani kuona Yanga ikimfunga mwarabu.

Maneno hayo yalitukera sana, sana, mlikosa heshima na adabu.Dharau kwa watani wenu zilikuwa kubwa sana.Watu tulikuwa hatunywi, hatuli kwa makelele yenu na mijezi yenu meusi kama kunguru.

Sasa niwaambie ile USM ni ya kawaida t umekufa 2 kwa lupaso, je ungecheza na Wydad ingekuwaje, si ungevunja timu
na nemc wapo tu wanaangalia
 
Back
Top Bottom