Maneno tunayotamka kwa kurudia bila kujua

Maneno tunayotamka kwa kurudia bila kujua

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kuna baadhi ya maneno ni lile lile ki maana ila tunarudia sababu ya lugha ni tofauti.

Mfano Sahara Desert...Sahara ni desert kiarabu. Ukisema jangwa la Sahara, manake jangwa la jangwa - desert desert.

Yapo maneno mengi Sana tunarudia. ATM machine, hiyo M kwenye ATM ni machine.

PIN number, hiyo N ni number.

Ni Sawa na kusema Barabara ya Morogoro road.

Ongezeeni zingine.
 
Lake Nyasa....Nyasa ni lake
 
Mbongo akiongea kingereza
I can't believe yani siamini, nimeweka effort yangu yote nguvu zangu zote nime invest sana yani nimewekeza sana kwake ila ndo hivyo bro yule demu hana loyalty yani siyo muaminifu kabisa.

Sasa sijui kwanini huwa wanarudia neno moja mara mbilimbili alafu wanajiona kama wako Mayami hivi
 
Mbongo akiongea kingereza
Me I can't believe yani siamini, nimeweka effort yangu yote nguvu zangu zote nime invest sana yani nimewekeza sana kwale ila ndo hivyo bro yule demu alikua hayuko loyal siyo muaminifu kabisa.

Sasa sijui kwanini huwa wanarudia neno moja mara mbilimbili alafu wanajiona kama wako Mayami hivi
Hahaha hatari sana
 
Wale Polisi wa Barabarani hua wanawaita Trafiki (Traffic) badala ya Traffic police au Traffic officer
 
Back
Top Bottom