Hahaha hatari sanaMbongo akiongea kingereza
Me I can't believe yani siamini, nimeweka effort yangu yote nguvu zangu zote nime invest sana yani nimewekeza sana kwale ila ndo hivyo bro yule demu alikua hayuko loyal siyo muaminifu kabisa.
Sasa sijui kwanini huwa wanarudia neno moja mara mbilimbili alafu wanajiona kama wako Mayami hivi
Nyasa pia ni ukanda hivyo kama hoja husika imejikita kwenye ziwa ni vizuri kuanza na neno ziwa nyasaLake Nyasa....Nyasa ni lake
Sisi Wakongwe Staa ni Mtu maarufuHa ha. Naongezea hii nimekutana nayo humu kutoka kwa johnthebaptist .
"Mastaa wa nyota moja" πΌπ₯
Unaweza kuwa askari Lakini Usiwe Polisi ππAskari polisi sjui wapo sahihi
Wilaya ya Nyasa πNyasa pia ni ukanda hivyo kama hoja husika imejikita kwenye ziwa ni vizuri kuanza na neno ziwa nyasa