Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imagine, unaishi na mke ambaye mama yake ni kama tina. what do you expect?Ukienda kuoa binti ambae mama yake ni christina aliesema maneno machafu kama yale dhidi ya mumewe unatarajia uishi udumu na mtoto wa mama kama huyo,??
Majanga mazitoimagine, unaishi na mke ambaye mama yake ni kama tina. what do you expect?
😂Kwa sauti ya Darassawhat do you expect?
NIlidhani nimeona peke yangu alivotetemeka haamini kama binti yake kaolewa yeye naona alikuwa anawahusia kabisa wasiolewe mapema hapo anatetemeka haamini kama anaenda kuitwa bibi soon wakati bado anatamani kuendelea kudangaShusho anatakiwa kutubu amepotoka sana, kwa sasa kila anachofanya kinaonekana najisi naamini hata wahudhuriaji hawakuwa na hamu ya kumsikiliza huyo mwanamke.
Ndio maana baba mtu ameongea akapigiwa makofi, lakini Shusho kwa hofu ameishia kutetemeka akatoa mic kwa baba mtu.
Anaolewa na @mcwillygraysonHuyo hana cha kumfundisha binti zaidi ya kumchuna mume wake baada ya hapo aseme aliolewa bila kupenda
Nyinyi mtakua mnatomba malaika..imagine, unaishi na mke ambaye mama yake ni kama tina. what do you expect?
Mi naona tatizo kubwa ni muonekano wa yule mzee shusho hapana kwakwel ingawa mwanaume Hana ulazima wa Kuwa mzuri ila yule Mzee shusho mhmm dada Tina ni shida tu na ushamba ndo vilimfanya akakubali kuolewa nae mi mara ya kwanza nilivomjua mume wake nilistaajabu kwel Mungu hakupi vyoteTujifunze kutokujaji kitu Kwa juu,hamuelewi labda ni shoruba gani alikuwa anapitia Huyo dada ndani ya ndoa au labda ni kweli Mzee kaonewa hatujui ukweli ni vizuri tukabaki watazamaji zaidi....