- Thread starter
- #21
Mi naona tatizo kubwa ni muonekano wa yule mzee shusho hapana kwakwel ingawa mwanaume Hana ulazima wa Kuwa mzuri ila yule Mzee shusho mhmm dada Tina ni shida tu na ushamba ndo vilimfanya akakubali kuolewa nae mi mara ya kwanza nilivomjua mume wake nilistaajabu kwel Mungu hakupi vyoteTujifunze kutokujaji kitu Kwa juu,hamuelewi labda ni shoruba gani alikuwa anapitia Huyo dada ndani ya ndoa au labda ni kweli Mzee kaonewa hatujui ukweli ni vizuri tukabaki watazamaji zaidi....