Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiseme kuna mtu kwenye mitandao mkuu sema kuna shoga kwenye mitandaoYaan nisijiamin na nisiwe proud of my black colour coz kuna mtu kwenye mitandao anaisema vbaya No no no no Big NO
Yupo Sahihi sana.
MTU mweusi ndio Race yenye watu Wavivu, Wakatili, Wenye majungu na wasiopendana.
Pia tuna Imani za kijinga sana ambazo hazina maana.
Hatuna Ubunifu wala teknolojia ya kuweza kuwasaidia binadamu wengine duniani.
Ndio maana tulitawaliwa kikoloni na Waarabu na Wazungu kwa ukoloni wa zamani.
Hata leo watu weusi wengi wanatawaliwa na haohao na wameongezeka Wahindi pia kutawala mtu mweusi kikoloni kasoro tu ni mijeledi hatuioni.
Kama Mhindi anaajiri watanzania masikini wanafanya kazi ngumu katika mazingira magumu sana mfano kuchanganya rangi za nguo au kuchochea moto kiwandani usiku na mchana kisha analipwa elfu 80 kwa mwezi ndani ardhi yao, maji yao, serikali yao, huo sio ubepari na ukoloni?
Tunafanya kazi nyingi za kutumia nguvu kuliko akili na malipo ni kidogo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Ng'ombe ni wa wazawa hawajatoka India wala Europe, materials zingine zote, maji na ardhi ilipo kiwanda ni ya wenyeji.mwanza hapo kuna kiwanda kinaitwa nyakato...... wana deal na vyuma aisee utashangaa mazingira ya kazi wanayotumikishwa wazawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wabongo tuna akili na muda wa mchezo kiukweli na ndio maana watu wanaopata umaarufu wanafanana na akili za wengi wetu. Lokole seriously!!....
Sent using Jamii Forums mobile app