Yupo Sahihi sana.
MTU mweusi ndio Race yenye watu Wavivu, Wakatili, Wenye majungu na wasiopendana.
Pia tuna Imani za kijinga sana ambazo hazina maana.
Hatuna Ubunifu wala teknolojia ya kuweza kuwasaidia binadamu wengine duniani.
Ndio maana tulitawaliwa kikoloni na Waarabu na Wazungu kwa ukoloni wa zamani.
Hata leo watu weusi wengi wanatawaliwa na haohao na wameongezeka Wahindi pia kutawala mtu mweusi kikoloni kasoro tu ni mijeledi hatuioni.
Kama Mhindi anaajiri watanzania masikini wanafanya kazi ngumu katika mazingira magumu sana mfano kuchanganya rangi za nguo au kuchochea moto kiwandani usiku na mchana kisha analipwa elfu 80 kwa mwezi ndani ardhi yao, maji yao, serikali yao, huo sio ubepari na ukoloni?
Tunafanya kazi nyingi za kutumia nguvu kuliko akili na malipo ni kidogo sana.
Sent using
Jamii Forums mobile app