Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeamini Gwajima ni mkubwa kuliko serikali
View attachment 1896892
tunahangaika kuikomboa misukule ya RashidiMbona mwahangaika sana?
Wewe nini kinakuuma?Nimeamini Gwajima ni mkubwa kuliko serikali
View attachment 1896892
Nimeamini Gwajima ni mkubwa kuliko serikali
View attachment 1896892
kuuma kivipi?Wewe nini kinakuuma?
Kumpinga Gwajima kwa matamko bila kujibu maswali yake! Ni kujianikatunahangaika kuikomboa misukule ya Rashidi
Kumpinga Gwajima kwa matamko bila kujibu maswali yake! Ni kujianika
Jengeni hoja za kumjibu.tunahangaika kuikomboa misukule ya Rashidi
sasa mtu anaposema viongozi wamehongwa ili kuingiza chanjo, sasa sisi unataka tumjibu nn?Jengeni hoja za kumjibu.
Lakini hapa si twazungumzia video uloweka au?sasa mtu anaposema viongozi wamehongwa ili kuingiza chanjo, sasa sisi unataka tumjibu nn?
mimi ni Mtanzania kwani wewe ni nani?Wewe Ngebe ni nani?Unanufaikaje na chanjo?Mbona kila kukicha unatetea chanjo tu na kumshambulia Gwajima?Au uligalagazwa kwenye ubunge na Gwaji boy? Pole,unahangaika sana.
Muueni,maana wewe kila kukicha unamuwaza Gwaji boysasa mtu anaposema viongozi wamehongwa ili kuingiza chanjo, sasa sisi unataka tumjibu nn?
Unachosha,au nawe ni mnufaika wa chanjo?Si uliambiwa chanjo ni hiyari.Kwanini usakame wanaoipinga?Acha maslahi binafsi.mimi ni Mtanzania kwani wewe ni nani?
kama yeye ambavyo kila jumapili anawaza kuropokaMuueni,maana wewe kila kukicha unamuwaza Gwaji boy
Mpigeni risasi sasa.Wajinga sana ninyi.kama yeye ambavyo kila jumapili anawaza kuropoka