kanisa kalianzisha yeye mwenyewe na udoctor kajipa yeye mwenyewe, ashukuru kuitwa mweshimiwa kwa ajili ya ubunge. uwaskofu nao kajipachika mwenyewe, such a useless persondharau hizi! yeye ndio inabidi adodoshewe kitu kizito
anatukana wateule
Acha udini wako.Kuna uhuru wa kutoa maoni.Wewe nenda ukachanjwe inatosha.kanisa kalianzisha yeye mwenyewe na udoctor kajipa yeye mwenyewe, ashukuru kuitwa mweshimiwa kwa ajili ya ubunge. uwaskofu nao kajipachika mwenyewe, such a useless person
hili jitu halikwenda shule na sasa linatakiwa liende mirembe tukama yeye ambavyo kila jumapili anawaza kuropoka
mkuu nani mjinga?Mpigeni risasi sasa.Wajinga sana ninyi.
Anayelazimisha watu wote wachanjwe wakati ni hiyari.Ukichanjwa wewe inatosha.Mwacheni Gwajima aendelee kutumia uhuru wa kutoa maoni,au kawaumbua ndiyo maana mnatumia hasira kumtafuta?mkuu nani mjinga?
Wa kwenda mirembe ni wewe uliyechanjwa halafu una kiherehere cha wenzako wachanjwe.hili jitu halikwenda shule na sasa linatakiwa liende mirembe tu
achana na wehu hao ambao hawaoni yaliyotokea Afghanistan lakini bado wao wanakimbilia wazungu, tupa kulemkuu nani mjinga?
gwajiboi ni mwehuAnayelazimisha watu wote wachanjwe wakati ni hiyari.Ukichanjwa wewe inatosha.Mwacheni Gwajima aendelee kutumia uhuru wa kutoa maoni,au kawaumbua ndiyo maana mnatumia hasira kumtafuta?
Hata sirro anagwaya kumkamata. Anataka apewe barua. Wote anaowakamata anapewa barua?
Gwajima ni Mjanja sana. Alimsema sana Magufuli kwa kumponda makonda. Huku akisema Magufuli hana tatizo tatizo liko kwa mteule Makonda. Vile ni kumsafisha Magufuli ambaye jamii yote ilitambua fika Makonda anatumwa na Magufuli