Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu ndiyo wajinga, kwann walijiunga kwenye saccos yake??Huyu amewauza watu
Demokrasia kwenye saccos ya familia ya mtu?Achenj demokrasia ichukue nafasi yake
Saccos ni dharau dhidi ya damu za watuWatu ndiyo wajinga, kwann walijiunga kwenye saccos yake??
Nadhani mtu yeyote (ambaye siyo ukoo wa bosi) akiwa mfuasi wa chadema atapaswa kulazwa hospitali ya vichaaYaani hilo lipo wazo.Ukiwa mfuasi wa CHADEMA 2025 itakupasa upimwe akili
Hakika🤣🤣🤣Nadhani mtu yeyote (ambaye siyo ukoo wa bosi) akiwa mfuasi wa chadema atapaswa kulazwa hospitali ya vichaa
MkuuAccording to Wenje: Amesingiziwa rushwa toka mwezi Mei, amekuja kuliongelea suala hilo mwezi Desemba. Kwa hiyo yeye ni mkomavu na mvumilivu kisiasa na ni kiongozi bora kwa vile ameweza kulimezea kwa miezi 7.
According to Wenje again: Anauliza kwa nini TAL suala la rushwa ya Abduly la mwezi Desemba mwaka jana anangoja muda mrefu huo hadi mwezi Mei mwaka huu (miezi 6) ndipo amelisemea? Anadai huo ni udhaifu wa kiuongozi. Alipaswa kusema wakati uleule.
Mkuu, sijui tumwiteje. Lakini mimi naongeza mfano wa ufafanuzi zaidi. Ukimwona mtu amebeba madumu ya petroli kwenda kuuzimisha moto, hapo tunaitaje kiufundi?Mkuu
Kwa Wenje tuna bumunda au hatuna?
Hawakujua kama ni Saccos ya mtu !Watu ndiyo wajinga, kwann walijiunga kwenye saccos yake??
Dunia rangilangire !View attachment 3182851
"Chama changu nitafia hapa" alisikika Mangi mmoja...
Anajimaliza mwenyewe mkuu.Mkuu, sijui tumwiteje. Lakini mimi naongeza mfano wa ufafanuzi zaidi. Ukimwona mtu amebeba madumu ya petroli kwenda kuuzimisha moto, hapo tunaitaje kiufundi?