NgugiAchebe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,024
- 688
Hili jamaa linasandia uchi tu hapo.. Kwa niaba ya watanzania kenge wee usinijumuishe humo!!
Mambo ya kazi ni tofauti sana na mambo yahusuyo mapenzi..
Ndani ya miaka 5 she has done so much more than any celebrity in Tanzania kwenye jamii. Naomba nihamishie upepo kwake kwa shukrani zote kwa yote aliyoyafanya kuinyanyua jamii ya watanzania na naomba msamaha kwa niaba ya watanzania kwani tulikua busy tunaangalia nani anatoka na nani na nani kagombana na nani na nani kaposti uchi leo, tukasahau kua umebadilisha maisha ya vijana zaidi ya laki 5 ndani ya miaka miwili tu. Ingekua muamuzi ni mimi ungekua Forbes because ni celebrity pekee uliyesimamisha brand product yako kwa jina lako and yes African boy ya Jux inakuja pia. Uliyoyafanya kwenye jamii yako bila kulazimishwa ni zaidi ya baadhi viongozi tuliowachagua kufanya kazi hizo tunazowalipa kufanya. If am allowed may I please say you are "THE FLOWER [emoji259] OF TANZANIA" if you ask me why its because you are beautiful and you make us smell good werevaa you go.
Kwa niaba ya watanzania ningependa kusema tumejisahau sana na tusamehewe. Stay beautiful [emoji7].. cc: @jokatemwegelo [HASHTAG]#TheFlowerOfTanzania[/HASHTAG]
View attachment 480024https://mushkhani.wordpress.com/URL]
Sawa mkuu. Ntarekebisha. Ni kauli aliyowahi kutoa Diamond kwa Ali Kiba kuwa kumpenda Jokate alikuwa anakula makombo yake ambapo Jokate alimjibu kuwa naye Diamond alikula ya HasheemDuh!!!hilo neno makombo ulivyo litumia hapo haijakaa poa.
Hata kwenye kabumbu huwezi kupewa pasi kama umejificha.Umesahau ile style ya kujitangulizia ili mradi uwe na mbio tu.Aina mpya ya mtongozo hii lol!
Huyo ni fisi mzee wa mifupa
Haha, huyu ameshindwa kumtongoza Jokate waziwazi ameona apite njia ya kusifia...anyway, it works sometimes maana kutongoza sehemu kubwa ni kumsifia mwanamke, mzigo unapewa baada ya kuwa umeshasifia sana!
Ndani ya miaka 5 she has done so much more than any celebrity in Tanzania kwenye jamii. Naomba nihamishie upepo kwake kwa shukrani zote kwa yote aliyoyafanya kuinyanyua jamii ya watanzania na naomba msamaha kwa niaba ya watanzania kwani tulikua busy tunaangalia nani anatoka na nani na nani kagombana na nani na nani kaposti uchi leo, tukasahau kua umebadilisha maisha ya vijana zaidi ya laki 5 ndani ya miaka miwili tu. Ingekua muamuzi ni mimi ungekua Forbes because ni celebrity pekee uliyesimamisha brand product yako kwa jina lako and yes African boy ya Jux inakuja pia. Uliyoyafanya kwenye jamii yako bila kulazimishwa ni zaidi ya baadhi viongozi tuliowachagua kufanya kazi hizo tunazowalipa kufanya. If am allowed may I please say you are "THE FLOWER [emoji259] OF TANZANIA" if you ask me why its because you are beautiful and you make us smell good werevaa you go.
Kwa niaba ya watanzania ningependa kusema tumejisahau sana na tusamehewe. Stay beautiful [emoji7].. cc: @jokatemwegelo [HASHTAG]#TheFlowerOfTanzania[/HASHTAG]
View attachment 480024https://mushkhani.wordpress.com/URL]
Hivi nn maana ya makombo tuanzie apouliona wapi K ikawa na Makombo???
Kitu kilicholiwa kikabakiaHivi nn maana ya makombo tuanzie apo
Kama maana yake ndo iyo basi jamaa yupo sahihiKitu kilicholiwa kikabakia
Ndani ya miaka 5 she has done so much more than any celebrity in Tanzania kwenye jamii. Naomba nihamishie upepo kwake kwa shukrani zote kwa yote aliyoyafanya kuinyanyua jamii ya watanzania na naomba msamaha kwa niaba ya watanzania kwani tulikua busy tunaangalia nani anatoka na nani na nani kagombana na nani na nani kaposti uchi leo, tukasahau kua umebadilisha maisha ya vijana zaidi ya laki 5 ndani ya miaka miwili tu. Ingekua muamuzi ni mimi ungekua Forbes because ni celebrity pekee uliyesimamisha brand product yako kwa jina lako and yes African boy ya Jux inakuja pia. Uliyoyafanya kwenye jamii yako bila kulazimishwa ni zaidi ya baadhi viongozi tuliowachagua kufanya kazi hizo tunazowalipa kufanya. If am allowed may I please say you are "THE FLOWER [emoji259] OF TANZANIA" if you ask me why its because you are beautiful and you make us smell good werevaa you go.
Kwa niaba ya watanzania ningependa kusema tumejisahau sana na tusamehewe. Stay beautiful [emoji7].. cc: @jokatemwegelo [HASHTAG]#TheFlowerOfTanzania[/HASHTAG]
View attachment 480024https://mushkhani.wordpress.com/URL]
K haina makombo. KomaAnataka kuonja makombo ya Ali Kiba baada ya kushiba ya Diamond. Huyu jamaa kwa makombo hajambo.
Ameweza kumlea Nuhu Mzwanda mpaka amekua na kwenda kuoaNa mimi kwa niaba ya watanzania napenda kumpongeza my baby Shishi Trump. You have done so much for this society, japo watanzania hawana shukrani hasa BASATA.
Nimekusikia ila usitembeze sana kwa kuamini haina makombo yataja kukukuta.K haina makombo. Koma
Kama harua ile..ha ha ha wadau K hazinaga makombo