Uchaguzi 2020 Maneno ya kipumbavu sana, wanadhihirisha chuki na visasi vya CCM

Uchaguzi 2020 Maneno ya kipumbavu sana, wanadhihirisha chuki na visasi vya CCM

lolypop

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
2,430
Reaction score
1,688
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.

Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
 
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa ccm mnaongea? Nyie ndo mnaoiuwa ccm taratibu inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo, na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.
Watanzania wenzangu natoa rahi 28/oct tuwaonyeshe ccm hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
Hii kauli hata yule mkubwa anaitoa sana kwenye kampeni. Msajili si awaandikie barua ili wajieleza wanamaana gani?
 
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa ccm mnaongea? Nyie ndo mnaoiuwa ccm taratibu inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo, na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.
Watanzania wenzangu natoa rahi 28/oct tuwaonyeshe ccm hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
UDOM products
 
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.

Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
Msimlaumu. Kaiga kwa mwenyekiti wake.
 
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.

Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
"rahi" maana yake nini kwa kilugha chako??

Shabiki mandazi wewe eti??
 
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.

Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334

Kamanda mbona unepanic sana? Huyo si katumia uhuru wake? Huu si ndio uhuru mbao uhubiri kila leo? Kuna shida gani akitoa maoni yake? Hahaha
 
Baa
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.

Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
bangi hizi
 
Huyu jamaa anavimba sana, anajua yupo karibu na mwenye mbwa, kuna kikao nilikuwepo alikuwa anafokea sana watu 🙁
 
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.

Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334

Mkuu Oct twende na upinzani, Zanzibar maalim, Tanganyika Lissu
 
Mkuu weekend hii watu tunapata chomachoma za kanga kutoka bandani.. CHADEMA KAENI KWA KUNYAMAZA MBUZI WA MAGENGENI.
 
Kamanda mbona unepanic sana? Huyo si katumia uhuru wake? Huu si ndio uhuru mbao uhubiri kila leo? Kuna shida gani akitoa maoni yake? Hahaha
Kama ni Uhuru wa maoni basi mwambieni Msajili wenu aache na wengine watoe maoni kwa Uhuru.
 
Back
Top Bottom