Hii kauli hata yule mkubwa anaitoa sana kwenye kampeni. Msajili si awaandikie barua ili wajieleza wanamaana gani?Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa ccm mnaongea? Nyie ndo mnaoiuwa ccm taratibu inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo, na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.
Watanzania wenzangu natoa rahi 28/oct tuwaonyeshe ccm hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
UDOM productsHuyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa ccm mnaongea? Nyie ndo mnaoiuwa ccm taratibu inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo, na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.
Watanzania wenzangu natoa rahi 28/oct tuwaonyeshe ccm hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
Msimlaumu. Kaiga kwa mwenyekiti wake.Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.
Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
"rahi" maana yake nini kwa kilugha chako??Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.
Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.
Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
bangi hiziHuyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.
Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
Huyu mjinga hapo kwenye video anajitapa eti maendeleo hayawezi kuja bila CCM, Huu ni upumbavu gani vijana wa CCM mnaongea? Nyie ndio mnaoiuwa CCM taratibu, inaonekana ni lichama la chuki na visasi. Viongozi waliotangulia wangefanya huu uzwazwa nchi ingekuwa ishagawanyika walitambua upinzani upo na kama upinzani upo ni rahisi baadhi ya kata na majimbo kuongozwa na upinzani. Hivyo walipeleka maendeleo bila kuangalia itikadi za chama.
Watanzania wenzangu natoa rahi 28/Oct tuwaonyeshe CCM hii nchi SIO MALI YAO NI MALI YA WATANZANIA. TANZANIA IS NOT CCM PROPERTY!
View attachment 1582334
Wakati wake ni upi?Mbona uneleta topic zilizopita na wakati?
Kama ni Uhuru wa maoni basi mwambieni Msajili wenu aache na wengine watoe maoni kwa Uhuru.Kamanda mbona unepanic sana? Huyo si katumia uhuru wake? Huu si ndio uhuru mbao uhubiri kila leo? Kuna shida gani akitoa maoni yake? Hahaha