Maneno ya kiswahili yaliyo pata kiki awamu ya tano

Maneno ya kiswahili yaliyo pata kiki awamu ya tano

Mzalendowadamu

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2016
Posts
218
Reaction score
318
Nianze kwa Kumuombe ndugu, Mh Lisu apone haraka. Wadau naomba tukumbushane maneno ya kiswahili au yalito pata umaalufu zaidi tangu mh wetu mpendwa JPM kuteuliwa kugombe Urais.
Mimi naanza na hiviiii

1. Kutumbua majipu
2.Makinikia
3.Vilaza
4 Sasa ongezeni mengine. bila ksahau bombadia.
 
Nianze kwa Kumuombe ndugu, Mh Lisu apone haraka. Wadau naomba tukumbushane maneno ya kiswahili au yalito pata umaalufu zaidi tangu mh wetu mpendwa JPM kuteuliwa kugombe Urais.
Mimi naanza na hiviiii

1. Kutumbua majipu
2.Makinikia
3.Vilaza
4 Sasa ongezeni mengine. bila ksahau bombadia.

Unahitajika kupimwa mkojo aisee.
 
Back
Top Bottom