crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
"Tulimpa chaguo la kuondoka msimu wa joto lakini hakupata timu. Tulijaribu chelsea wakakataa, Ac milan wakakataa. Tukamwambia atafute timu lakini hakupata, anazungumzia heshima gani?"
"United imekuwa na wachezaji wazuri siku za nyuma lakini hawajawahi kuwakatisha tamaa hivi. Ronaldo lazima atulie na aelewe kuwa hata simba huzeeka."
My take:
Huyu kocha anaoneka mstaarabu sana, mara zote akiulizwa kuhusu ronaldo amekuwa akisema hauzwi na yupo kwenye mipango yake kumbe anajua kinachoendelea.
Hii imempa thamani ronaldo, iwapo angesema anauzwa na timu akakosa ingekuwa fedheha kubwa sana kwake.
huyu ronaldo kama anajiona mjanja asepe pale kama atapata timu, vigogo wa timu zote kubwa ulaya walimkataa halafu bado analeta kiburi.
Jamaa inaonekana ana kiburi na dharau sana huyu. Asepe zake hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu.
"United imekuwa na wachezaji wazuri siku za nyuma lakini hawajawahi kuwakatisha tamaa hivi. Ronaldo lazima atulie na aelewe kuwa hata simba huzeeka."
My take:
Huyu kocha anaoneka mstaarabu sana, mara zote akiulizwa kuhusu ronaldo amekuwa akisema hauzwi na yupo kwenye mipango yake kumbe anajua kinachoendelea.
Hii imempa thamani ronaldo, iwapo angesema anauzwa na timu akakosa ingekuwa fedheha kubwa sana kwake.
huyu ronaldo kama anajiona mjanja asepe pale kama atapata timu, vigogo wa timu zote kubwa ulaya walimkataa halafu bado analeta kiburi.
Jamaa inaonekana ana kiburi na dharau sana huyu. Asepe zake hakuna mchezaji mkubwa kuliko timu.