Maneno ya mashabiki wa Simba baada ya dakika 90 za mchezo wa leo

Maneno ya mashabiki wa Simba baada ya dakika 90 za mchezo wa leo

Unavoidable Servant

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2021
Posts
1,728
Reaction score
4,545
Leo Yanga inakwenda kuonesha kwa vitendo maana ya uwekezaji kwenye soka ni nini?

Baada ya Al hilal kupigwa kama ngoma mashabiki wa Simba watasikika wakisema hii Al hilal ni Zalan iliyochangamka tu. Sasa na wewe waulize wale waliopigwa mbili mbele na nyuma na Fiston Mayele kwenye ngao ya jamii nao ni nani?
 
Leo Yanga inakwenda kuonesha kwa vitendo maana ya uwekezaji kwenye soka ni nini?

Baada ya Al hilal kupigwa kama ngoma mashabiki wa mbumbumbu FC watasikika wakisema hii Al hilal ni Zalan iliyochangamka tu, Sasa na wewe waulize wale waliopigwa mbili mbele na nyuma na Fiston Mayele kwenye ngao ya jamii nao ni nani?
Naipenda sana Yanga, ila mwenge uliopo kwenye jezi yetu haukimbizwi nje ya mipaka yetu.
 
Naipenda sana Yanga, ila mwenge uliopo kwenye jezi yetu haukimbizwi nje ya mipaka yetu.
Uwekezaji uliofanyika na GSM Mwana Yanga wa kweli hawezi kusema hivi.

Ulitaka ufike wapi na kina Ditram Nchimbi, Molinga na kocha Mwinyi Zahera? Ulishawahi kuona kocha anavaa kaptula?

Kaa kitako kwa kutumia uone thamani ya pesa leo.
 
Mnatema sumu midomoni wenzenu wanatema sumu miguuni mpira unakochezwa. Yanga mnaweweseka sana. Hamjiamini.
Kaaa kitako kwa kutulia ndio utajuwa nini maana ya Mageuzi na uwekezaji mkubwa katika mpira.

Endelea kukariri utaduazwa leo kama Mayele akivyowaduaza kwenye ngao ya jamii.
 
Leo Yanga inakwenda kuonesha kwa vitendo maana ya uwekezaji kwenye soka ni nini?

Baada ya Al hilal kupigwa kama ngoma mashabiki wa mbumbumbu FC watasikika wakisema hii Al hilal ni Zalan iliyochangamka tu, Sasa na wewe waulize wale waliopigwa mbili mbele na nyuma na Fiston Mayele kwenye ngao ya jamii nao ni nani?
Kama kuna kitu mnajidanganya sana,ni eti kwa vile huwa mnaifunga Simba ambayo El hilal hawaiwezi basi mmejipa ticket ya moja kwa moja kuwa mtaifunga tena na idadi ya goli mnasema ni 3!
Mi nawaambia hili ni soka,achana na ule uchawi wa akina mzee mpili kwa Simba.
Ingieni kwa heshima uwanjani.Mkiimgia na kudhani hiyo ni mechi ndogo kama mlivyodanganywa na Alikamwe,mtaja lia kilio cha mbwa koko
 
Uwekezaji uliofanyika na GSM Mwana Yanga wa kweli hawezi kusema hivi.

Ulitaka ufike wapi na kina Ditram Nchimbi, Molinga na kocha Mwinyi Zahera? Ulishawahi kuona kocha anavaa kaptula?

Kaa kitako kwa kutumia uone thamani ya pesa leo.
Kila kitu kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho ndipo huonekana/ hudhihirika kwenye ulimwengu wa mwili. Kwenye ulimwengu wa roho, Yanga nje ya mipaka yetu ni kama unyasi tu, kila mtu anajikanyagia na hauna uwezo wa kuzuia chochote.
 
Endeleeni kujifariji tu Utoporoo mkijitahidi sana leo angalau draw ila maumivu ya kufungwa na hatimaye kutolewa tena yapo palepale.......mark my words
 
Yanga siipendi lakini naitakia heri kimataifa ili point ziongezeke tuendelee kupeleka timu nne.
 
LILEPO HAT TRICK [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Leo Yanga inakwenda kuonesha kwa vitendo maana ya uwekezaji kwenye soka ni nini?

Baada ya Al hilal kupigwa kama ngoma mashabiki wa mbumbumbu FC watasikika wakisema hii Al hilal ni Zalan iliyochangamka tu, Sasa na wewe waulize wale waliopigwa mbili mbele na nyuma na Fiston Mayele kwenye ngao ya jamii nao ni nani?
Watakuja na gia nyingine maana awakosi vimaneno vya kujiliwaza wakishaona mambo yamekwenda tofauti na matarajio yao
 
Yamebaki masaa machache nchi iingie kwenye aibu.
Kama hii?
IMG_20221007_204953.jpg
 
Leo Yanga inakwenda kuonesha kwa vitendo maana ya uwekezaji kwenye soka ni nini?

Baada ya Al hilal kupigwa kama ngoma mashabiki wa mbumbumbu FC watasikika wakisema hii Al hilal ni Zalan iliyochangamka tu, Sasa na wewe waulize wale waliopigwa mbili mbele na nyuma na Fiston Mayele kwenye ngao ya jamii nao ni nani?
Nahisi hii timu ndio imefanya timu yenu ya Taifa yaani Taifa Staaz iitwe kichwa cha Mwendawazimu. Matokeo yao hufanana sana na hata mashabiki wana imaninkubwa mno na timu yao feki
 
Kama unatafuta timu ya kushabikia leo.ndugu yangu chagua Al hilal kwa usalama wa Moyo wako.
 
Back
Top Bottom