Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Ndugu zangu huku tukisubiria mwaka mpa tutumie huu uzi kujuzana maneno ya wakosaji, yaani yale maneno wanayotumia wasionacho kujifariji wakiowaona wenye nacho. Mimi nitaanza na haya.
"Kwani IST nayo gari sasa" (hapo jamaa anasubiri foleni ya mwendokasi Kimara - Morocco
"Huyo dem tumegonga sana yeye ndo anakula sasahivi" (Jamaa hapo ni chaputa mtukufu hata hajui K zinanukiaje sikuhizi na wala hela ya kuhonga pisikali hana)
"Kwani IST nayo gari sasa" (hapo jamaa anasubiri foleni ya mwendokasi Kimara - Morocco
"Huyo dem tumegonga sana yeye ndo anakula sasahivi" (Jamaa hapo ni chaputa mtukufu hata hajui K zinanukiaje sikuhizi na wala hela ya kuhonga pisikali hana)