Maneno ya Mwijaku baada ya kumtembelea Lulu gerezani

Exctly
 
Kwani wewe hujawahurumia ama kuwaona wengine jamani. Wote ni binadamu wana haki sawa pia wote waliomo humo sio wote wana Hata ya makosa waliyohukumiwa
 
ni zaidi ya hapo...nikipata muda nitasimulia. ni jehanamu ndogo
ooh jela noma na hapo bado hujapigiwa kampeni uku hujasingiziwa na kiherehere na nyapara ukachezea tochi kama zote kunywa maji umechumamaa ongea na askar uku umepiga magoti dah bora uhuru lakini sio jela hakuna mtu aliyepeazoea jela!Kama jela shule mpeleke mwanao
 
Aisee ndo unajua leo mkuu au kwa sababu ni lulu kafungwa jela kakunung'unikia sana?

Askari magereza wadharau uraian tu ila ukiingia mikononi mwao utawajua vzr.
Wale wanapokea wanasiasa,mawaziri, Polisi, wanajeshi, hata Makomandoo na bado wanawatia adabu ....hatari sana ...
 
Yupo gereza gani nami nikamtembelee japo hatufahamiani.
 
Alikuwa na miaka mingapi akiwa kwa marehem?

Lack of parental care.


Ukweli ndo huo acha niseme.
 
Sijui mimi tu ndo nina mawazo haya,huyu lulu simuonei huruma kabisa i think angefaa hata kunyongwa,why ? ,leo nikisikia anatoka na hao kina majizo anakula bata nk hua na imagine kanumba angekua mzima angekua wapi ki maendeleo ? Ona mama yake anavopata tabu,leo lulu hata hajutii kuhusu kanumba kabisa anamtukana mpka mama kanumba,it is so painful ,hua nawaona wanawake kama chanzo cha our downfall,lakini the great nae alifata nini kwa ki lulu ,alishindwa kuwaona kina batuli kweli,naye pia he was wrong

HAYO NI MAWAZO YANGU TU
 
Watanzania bwana sasa huyu mwijaku na tambi lake ka fuko la kiroba....ndo anamuonea huruma mfungwa miaka miwil/yaani miezi 16..wakati kuna watu hawana makosa wamepigwa maisha na wengine waliona wake zao wakigegedwa mbele ya macho yao wakachukua sheria mkononi leo wanaozea jela...Maisha ya unafiki watanzania kweli tunayapenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…