Maneno ya mwisho ya Steve Jobs, bilionea ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 56 kuhusu maisha


Story yako imenifanya nikumbuke kifo cha the late Safaricom Ceo, Bob collymore.
Alikuwa na kila kitu pamoja na pesa ndefu , when blood cancer took its toll , hakukuwa na namna ya kumfanya aeendelee kuishi!!!
Imagine top paid east african Ceo lying in his deathbed surrounded by famous and expesive doctors na hakuna yoyote anayeweza kuokoa uhai wake !.
Jamaa aliamuru akifa mwili wake uchomwe moto na ikawa hivyo.
 
Kwenye mambo ya dini uko vizuri, tofauti na na zile story zako za umbea kuhusu US.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Unexamined life is not worth living.
Hii phrase yako huwa naitafakari kila siku !! Honestly had we had choice before we were born , binafsi ,nisingechagua kuishi!!
I am realy struggling with the idea of life ,and whether it is worth living.
 
chamsingi ndugu zangu tutafute MUNGU napesa tu maana wengine hatuna nssf.mwenzako alikuwa anahela hata ya kumtibia ,jidanganye sasa
 
chamsingi ndugu zangu tutafute MUNGU napesa tu maana wengine hatuna nssf.mwenzako alikuwa anahela hata ya kumtibia ,jidanganye sasa
Huzuiwi Kuutafuta pesa mkuu,ila mtangulize Mungu kwanza in everything you do.Money without God ends you up in catastrophe,ruin and.sorrow.
 
Huu uzi unanikumbusha kuna mwamba mmoja umwambii kitu kuhusu kujenga japo anapesa ukimuuliza anakwambia awez kujenga safarini anasubili afike huko aendako kama ni mbinguni au ahera ndio atafanya ujenzi
Ha ha ha
 
formula ni moja tafuta hela na kula raha kama vile utaishi milele, fanya ibaada kila sekunde kama vile utakufa secunde inayofuata.
 
1. Ni kawaida wenye dhambi mkiambiwa muache dhambi mnakimbilia kusema mnahukumiwa.

2. Mnakimbilia kusema hakuna mkalifu, Biblia hiyo hiyo inasema 'Watakatifu waliopo duniani, ndio nnaopendezwa nao'.

3. Kama kuambiwa uache dhambi kisa unaona kila mru ni mdhambi unajidanganya na wahubiri wa injili waliofanya mpaka leo tumjue Kristo walifanya kazi bure, wale walikuwa ni watakatifu na dhambi haikuonekana kwao.

4. Usipendeke kutumia maandiko na kuyafafanua kwa utashi wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…