Maneno ya mwisho ya Steve Jobs, bilionea ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 56 kuhusu maisha

Nimejifunza kwamba:
Usiwasomeshe watoto wako kuwa matajiri. Wafundishe kumjua Mungu, kwa njia hiyo watakuwa na furaha ya kweli. Kwa njia hiyo, watakapokuwa wakubwa watajua thamani ya vitu na sio bei.
Maneno ya hekima kabisa haya.
 
Ameeen.
 
Hii phrase yako huwa naitafakari kila siku !! Honestly had we had choice before we were born , binafsi ,nisingechagua kuishi!!
I am realy struggling with the idea of life ,and whether it is worth living.
Oooh i see, my friend, let take Arbert Camus stand then, life is absurd in short, and universe has no obligation to make any sense to you or to me. So you are nog supposed to searching for meaning of life your life should give meaning.

You should make your own meaning and not depend on meaning provided by other or institution.
 
🀣🀣Wenye dhambi?
We huna dhambi mkuu?
Aliyekamilika ni mmoja tu
Hongera kwa kuwa mtakatifu duniani
 
Mkuu kwa taarifa yako mimi nimeokoka nampenda Bwana Yesu sana.Hata mimi nilikuwa na mawazo kama yako katika uchanga wangu wa kiroho,ila Mungu alinionya.Aliniambia hivi kama wewe huna dhambi,mimi kama dhabihu hunihusu,na nilikufa bure Msalabani.Alinikumbusha na kuniambia unahesabiwa haki bure,ndio maana Mungu akikuangalia hakuoni wewe,anamuona Yesu badala yako.Alinielekeza nisome Warumi 7:15-25
Inasema,
"15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.
Warumi 7:15

16 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.
Warumi 7:16

17 Basi sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu
Warumi 7:17

18 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.
Warumi 7:18

19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
Warumi 7:19

20 Basi kama lile nisilolipenda ndilo nilitendalo, si mimi nafsi yangu nilitendaye, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
Warumi 7:20

21 Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya.
Warumi 7:21

22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,
Warumi 7:22

23 lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali, inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu.
Warumi 7:23

24 Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?
Warumi 7:24

25 Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kama ni hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.
Warumi 7:25"

Mkuu hii ndio hali ya mwanafunzi wa Bwana Yesu was kweli,na kama wewe contradiction hiyo huioni,basi wewe sio mwanafunzi wa kweli Bwana Yesu,unajidanganya.Mtume Paulo aliiona contradiction hiyo katika maisha yake,sasa hatukuelewi wewe mwenzetu.

Mkuu ukweli unabaki kwamba kama wewe humkosei Mungu,basi Bwana Yesu hakuhusu.Kumbuka kwamba sisi ni Wana wa Mungu,kwa hiyo kama Wana tutamkosea Baba Yetu,yaani Mungu,tunamkosjjambo la kufanya ni kurudi Kwake kwa toba,na Yeye kama Baba yupo tayari kutusamehe.
 
🀣🀣Wenye dhambi?
We huna dhambi mkuu?
Aliyekamilika ni mmoja tu
Hongera kwa kuwa mtakatifu duniani
Achana naye huyo mkuu,hajitambui.Infact hajui hata Neno la Mungu.Anachotaka ni kumrudisha Bwana Yesu Msalabani wakati kazi ya wokovu ameshaimaliza.Bwana Yesu alikuja kuokoa wenye dhambi,wa kwanza nikiwa mimi,yeye kama hana dhambi Bwana Yesu hamhusu,akae pembeni.
 
Shaggy .ft. Rayvon, Wimbo "Angel"

[emoji445]Life is one big party when you're still young, But who's gonna have your back when it's all done

It's all good when you're little, You have pure fun.[emoji445]
 
Hawa matajiri Wakubwa duniani cjui Kama Kuna sehemu wanamtaja Mungu..fuatilia vizuri Kama hayajaongezewa hayo maneno.
 
formula ni moja tafuta hela na kula raha kama vile utaishi milele, fanya ibaada kila sekunde kama vile utakufa secunde inayofuata.
Very illogical.Ila sikushangai wewe ni wa kizazi kipya,that is how they have made you to be, hamna kesho.You have just proved that they are successful in their endevour.Very sad indeed.
 
Very illogical.Ila sikushangai wewe ni wa kizazi kipya,that is how they have made you to be, hamna kesho.You have just proved that they are successful in their endevour.Very sad indeed.
Maisha ni incertain. Kufa ni lazima sema ndo haijulikani ndo maana unatakiwa kuishi hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…