National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
mahabaa yako tu.. yaniacha hoi mpenzi 🥰🥰🥰😍😍😘🌹🌹 mwaka wanguu huuKipenz Changu🥰🥰🥰😘😘
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mahabaa yako tu.. yaniacha hoi mpenzi 🥰🥰🥰😍😍😘🌹🌹 mwaka wanguu huuKipenz Changu🥰🥰🥰😘😘
Maneno ya hekima kabisa haya.Nimejifunza kwamba:
Usiwasomeshe watoto wako kuwa matajiri. Wafundishe kumjua Mungu, kwa njia hiyo watakuwa na furaha ya kweli. Kwa njia hiyo, watakapokuwa wakubwa watajua thamani ya vitu na sio bei.
Ameeen.Cha ajabu zaidi ni dunia na jinsi tunavyoipenda,
Nipo zangu hapa naendelea na kibarua cha kumwaga Zege juu ghorofa ya 4,Jua linanichoma vizuri tu,faraja yangu ni kwasababu sipo peke yangu,tupo wengi,kazi na dawa stori kama zote za haki na zabatili,sidhani kama kuna anaewazakufa kati yetu na ninahakika sote tunakichukia kifo! kula yangu yakubahatisha,chumba cha kupanga hakina umeme wala maji,kigodoro changu cha futi tatu kwa sita,sina mke lakini nina mtoto wa nje,najitahidi kumuhudumia hata hivyo niwe mkweli sijaweza kumtimizia,nina wazazi wangu nawapenda na ninatamani kuwafanyia mengi mazuri,tayari nimetimiza umri wa miaka 36 sijawafanyia hiki wala kile japo bado ninamatumaini ipo siku nitawafanyia chochote cha kujifaharisha, si mvutaji wala si mlevi mie lakini nawezaje kujiepusha na tabia hizi ikiwa idadi kubwa ya washirika wangu niwatumiaji!?sipigi punyeto lakini tayari nimeshaanza kuona ugumu wa kukaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa na ikiwa pesa ya kuhonga mwanamke itakosekana italazimu kuwe na njia m'badala yakujiridhisha! huwa nawaza na kufikiria hivi "kifo"sio njia sahihi ya kupunzika!?shida kubwa ni kwamba hakuna nafasi ya majaribio katika hili vinginevyo ningejaribu.
Naam wale wenzangu namimi wenye chuki binafsi na kifo na huku maisha yamewaelemea basi natuendelee tu kupambana huenda nasi Mungu akatuona!
Oooh i see, my friend, let take Arbert Camus stand then, life is absurd in short, and universe has no obligation to make any sense to you or to me. So you are nog supposed to searching for meaning of life your life should give meaning.Hii phrase yako huwa naitafakari kila siku !! Honestly had we had choice before we were born , binafsi ,nisingechagua kuishi!!
I am realy struggling with the idea of life ,and whether it is worth living.
🤣🤣Wenye dhambi?1. Ni kawaida wenye dhambi mkiambiwa muache dhambi mnakimbilia kusema mnahukumiwa.
2. Mnakimbilia kusema hakuna mkalifu, Biblia hiyo hiyo inasema 'Watakatifu waliopo duniani, ndio nnaopendezwa nao'.
3. Kama kuambiwa uache dhambi kisa unaona kila mru ni mdhambi unajidanganya na wahubiri wa injili waliofanya mpaka leo tumjue Kristo walifanya kazi bure, wale walikuwa ni watakatifu na dhambi haikuonekana kwao.
4. Usipendeke kutumia maandiko na kuyafafanua kwa utashi wako.
Asante sana.[emoji1787][emoji1787]Wenye dhambi?
We huna dhambi mkuu?
Aliyekamilika ni mmoja tu
Hongera kwa kuwa mtakatifu duniani
Mkuu kwa taarifa yako mimi nimeokoka nampenda Bwana Yesu sana.Hata mimi nilikuwa na mawazo kama yako katika uchanga wangu wa kiroho,ila Mungu alinionya.Aliniambia hivi kama wewe huna dhambi,mimi kama dhabihu hunihusu,na nilikufa bure Msalabani.Alinikumbusha na kuniambia unahesabiwa haki bure,ndio maana Mungu akikuangalia hakuoni wewe,anamuona Yesu badala yako.Alinielekeza nisome Warumi 7:15-251. Ni kawaida wenye dhambi mkiambiwa muache dhambi mnakimbilia kusema mnahukumiwa.
2. Mnakimbilia kusema hakuna mkalifu, Biblia hiyo hiyo inasema 'Watakatifu waliopo duniani, ndio nnaopendezwa nao'.
3. Kama kuambiwa uache dhambi kisa unaona kila mru ni mdhambi unajidanganya na wahubiri wa injili waliofanya mpaka leo tumjue Kristo walifanya kazi bure, wale walikuwa ni watakatifu na dhambi haikuonekana kwao.
4. Usipendeke kutumia maandiko na kuyafafanua kwa utashi wako.
Achana naye huyo mkuu,hajitambui.Infact hajui hata Neno la Mungu.Anachotaka ni kumrudisha Bwana Yesu Msalabani wakati kazi ya wokovu ameshaimaliza.Bwana Yesu alikuja kuokoa wenye dhambi,wa kwanza nikiwa mimi,yeye kama hana dhambi Bwana Yesu hamhusu,akae pembeni.🤣🤣Wenye dhambi?
We huna dhambi mkuu?
Aliyekamilika ni mmoja tu
Hongera kwa kuwa mtakatifu duniani
Very illogical.Ila sikushangai wewe ni wa kizazi kipya,that is how they have made you to be, hamna kesho.You have just proved that they are successful in their endevour.Very sad indeed.formula ni moja tafuta hela na kula raha kama vile utaishi milele, fanya ibaada kila sekunde kama vile utakufa secunde inayofuata.
Maisha ni incertain. Kufa ni lazima sema ndo haijulikani ndo maana unatakiwa kuishi hivyo.Very illogical.Ila sikushangai wewe ni wa kizazi kipya,that is how they have made you to be, hamna kesho.You have just proved that they are successful in their endevour.Very sad indeed.
We are praying for the country and our leaders on a daily basis,we believe God will do something.Ila kwa nini wewe unajitoa?
Na vip kwa nnayependa ngono na bia?"Maisha ni simple tu ukifa unaingia kaburini."
"Uwe na upendo, uwe na amani, saidia rafiki zako na Mungu atakusaidia pia."
"Nampenda Yesu. Napenda kula."