Maneno ya mwisho ya Steve Jobs, bilionea ambaye alikufa akiwa na umri wa miaka 56 kuhusu maisha

Huzuiwi Kuutafuta pesa mkuu,ila mtangulize Mungu kwanza in everything you do.Money without God ends you up in catastrophe,ruin and.sorrow.

ni mungu gani huyu anayemzungumzia tunayepaswa kumtafuta? Jehova au allah ?
 
mmeanza lini kuombea nchi na viongozi? Na amefanya nini mungu mpaka hivi sasa?
Ameiepusha nchi yetu na vita vya wenyewe kwa wenyewe tangu Uhuru.Ameipusha nchi yetu pia na mapinduzi ya kijeshi.Utakumbuka kwamba vikundi vya kigaidi vinavyofadhiliwa na hasa Marekani vinasumbua nchi nyingi za Africa,our country has been spared,haya ni matunda ya maombi ya watakatifu.Usisahau kwamba majanga mbali mbali yanazikumba nchi nyingi Sasa,our country has been spared.Lipo fukuto la swala la Bandari,tunaendekea kuiombea nchi yetu ili kama ni mapenzi yake YEHOVA, somehow in anyway He sees it fit,tatizo hili liishe salama.Mungu anatenda mkuu.
 
Shaggy .ft. Rayvon, Wimbo "Angel"

[emoji445]Life is one big party when you're still young, But who's gonna have your back when it's all done

It's all good when you're little, You have pure fun.[emoji445]
Unserious business is unwelcome in serious business.
 
Allah sio Mungu mkuu,yupo Mungu mmoja tu wa kweli,YEHOVA.

kwa nini huyu yehova kaamua kujifichaficha sana na hajataka tumjue kama yeye?

the fact is unaamini mungu wa kweli ni yehova kwa sababu umezaliwa katika familia ya waamini wa yehova. Yehova anawasaidiaje wale waliozaliwa katika familia ya waamini wa allah ili wamjue yeye ndio kweli?

kwa nini kaamua kuwa mtata sasa huyu yehova na kutuacha sisi tunaotaka kumtafuta kushindwa kumuelewa?

una uthibitisho gani kuwa mungu wa kweli ni yehova?
 

unataka kusema hizo nchi zinazopata hayo matatizo hawamuombi huyo yehova??

kwa nini hatupatii majibu ya matatizo sugu kama katiba yanayotutesa mpaka hii leo?

china hawamjui yehova lakini hakuna vita vya wenyewe kwa wenyewe, mapinduzi ya kijeshi, wala vikundi vya kigaidi.
 
YEHOVA hajajificha hata kidogo.Kama kajificha mimi nimejuaje kama Yupo.Anapatikana na amejifunua katika kitabu kiitwacho Biblia kupitia kwa Mwanawe aitwaye Bwana Yesu.Soma kitabu hiki utamjua.Ukikisoma kitabu hicho utajua pia mapenzi Yake kwako na kwa wanadamu wote.
 
Umevuta ya wapi Kapiri Mposhi (Zambia) au Bulawayo (Zimbabwe)?
Unajifanya mtakatifu wakati tabia zako za kuwafata unaodhania mademu PM na kuanza kuwachatisha unajua To yeye analambwa kisimi, sijui kutombwa n.k mambo machafu jatuzijui

Kaaa mbali la sivyo nitakuaibisha
 
Nani kakuzoea?
Uliwahi ona nimequote reply yako?
Ili wewe sindo umefanya?
Nimejuaje?
Ila sindo ninakwambia kijana wa hovyo chumba kimoja na kisabufa unaona umeyapatia, sikuoangii ni ushauri tu unaweza endelea kufanya ila kwa ulio wazoea ukizingua utabananishwa ndipo utakapo elewa
 
Unajifanya mtakatifu wakati tabia zako za kuwafata unaodhania mademu PM na kuanza kuwachatisha unajua To yeye analambwa kisimi, sijui kutombwa n.k mambo machafu jatuzijui

Kaaa mbali la sivyo nitakuaibisha
Cool down brother,muone aibu jamani,dah!
 
Hii ni fake na Wala hayo hayakusemwa Wala kuandikwa na Steve Jobs.

Ni maneno ya kutungwa na waongo wa dunia.

Hii message ilianza kuonekana kwenye mitandao mwaka 2015 ikiwa ni miaka minne baada ya kifo Cha Steve.

Ujumbe Huu haukutambuliwa na dadake ambaye Ndiye alikuwa anamuuguza Wala mtoto wake na Wala Partner wake. Wote wamekanusha Steve kuongea hayo au kuandika hayo.
 
Ulimwengu wa computer una mengi mkuu
 

kabla hujasoma hiyo biblia ,umesoma vitabu vya dini vingine vingapi? Kama hukuanza kusoma vingine mpaka kuja kuifikia hiyo biblia basi hauna haki ya kusema yehova ni mungu wa kweli.
 
Imenitafakarisha, kufurahi na wapendwa, familia yako ni kila kitu.

NB;
Kuna muda nilikua busy sana na kazi mpaka kua mbali na familia... mpk mama akanambia am 4 real Ndugu na watu wengi wanakusema upo kivyako vyako nakushaur punguza huo busy wako Tenga muda wa kuwa na ndugu na watu wako....

MUNGU YUPO BUSY ZAIDI YAKO.
 
Well,nikujibu hivi,hata kama huo ujumbe sio Steven aliyeandika,what is wrong with it basically.Ndani ya ujumbe huo mbona kumejaa hekima nyingi tu,na ni ushauri mzuri kwa kila mtu.Mimi binafsi nauchukulia ujumbe huo kama ushauri binafsi bila kujali nani kauandika na nauchukulia kama ushauri murua kabisa.It is the message that matters,sio nani kauandika.

Hakuna shaka yeyote kwamba nia yako ni ku-waterdown message nzuri iliyopo kwenye huo ujumbe,hasa kwa vile Mungu ametajwa humo.
 
kabla hujasoma hiyo biblia ,umesoma vitabu vya dini vingine vingapi? Kama hukuanza kusoma vingine mpaka kuja kuifikia hiyo biblia basi hauna haki ya kusema yehova ni mungu wa kweli.
Comment yako niu null and void mkuu.
kabla hujasoma hiyo biblia ,umesoma vitabu vya dini vingine vingapi? Kama hukuanza kusoma vingine mpaka kuja kuifikia hiyo biblia basi hauna haki ya kusema yehova ni mungu wa kweli.
Mkuu the God of the Bible ndiye Mungu wa kweli kwa kuwa Yeye peke yake ndiye aliyejitambulisha kuwa He is responsible for creation,no other.Kwa bahati nzuri no other demonic so called religion has ever claimed that it's "god" is reponsible for creation.Wengine wote ni bla bla tu.

The following clip should be able to convince you that God exists.


View: https://youtu.be/-iuGn9jSPmQ
 

je, wajua kuwa waislam na wayahudi nao hutumia hizo hadithi za biblia kumuhusu mungu(abrahamic religions)?

Kwa nini kuwe na utata kumuhusu huyu mungu kana kwamba waislam, wakristo na wayahudi wameshindwa kukubaliana kumuhusu?

umewahi kuwa muislam,myahudi na hatimaye mkristo na mwisho kuhitimisha kuwa god due to christianity ndio mungu wa kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…