kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
• Shaffih Dauda: Yanga wana timu bora sana msimu huu.
• Edo Kumwembe: Yanga bado wana timu imara sana kwenye Ligi yetu, maingizo mapya kila mtu ameona, yule Yao apunguze kuwa serious.
• George Job: Yanga hawana uwanja wa nyumbani wala ugenini, wana timu nzuri sana ya kupata matokeo popote.
• Gilbert Kaze: Yanga wamefanya mpira unaonekana kuwa rahisi sana Ila uhalisia ni namna walivyo na wachezaji bora kikosini, ni timu tishio sana msimu huu.
• Kocha Moalin: Ukicheza na Yanga na ukamiliki mpira kwa dakika 1 unapaswa kujipongeza, Yanga wasipokuwa na mpira ni hatari sana, na wanapokuwa na mpira ni hawakamatiki.
(Video haina uhusiano na habari)
• Edo Kumwembe: Yanga bado wana timu imara sana kwenye Ligi yetu, maingizo mapya kila mtu ameona, yule Yao apunguze kuwa serious.
• George Job: Yanga hawana uwanja wa nyumbani wala ugenini, wana timu nzuri sana ya kupata matokeo popote.
• Gilbert Kaze: Yanga wamefanya mpira unaonekana kuwa rahisi sana Ila uhalisia ni namna walivyo na wachezaji bora kikosini, ni timu tishio sana msimu huu.
• Kocha Moalin: Ukicheza na Yanga na ukamiliki mpira kwa dakika 1 unapaswa kujipongeza, Yanga wasipokuwa na mpira ni hatari sana, na wanapokuwa na mpira ni hawakamatiki.
(Video haina uhusiano na habari)