Babysukari
Member
- Nov 11, 2013
- 5
- 1
Hapo kwenye aghalabu ndio kwenye shughuli,nimejaribu sana kuwarekebisha watu lakini wananikatalia hua nawashangaa sana!
Usiku wa manane..............akimaanisha usiku wa maanani
ukiona hivyo jua hao wabara, hawajatokea kaskazini wala hawajatokea zenji. manake wazenji na wakaskazini hawachanganyi haya maneno, piga ua.Huwa natamani kuziba masikio ninaposikia mtu anachanganya "r" na "l".tatizo hili liko sana kwa wasanii wa maigizo na muziki.pia maneno kama "tunapaswa" na "tunapashwa" wanasiasa huwa wanayachanganya sana sasa sijui hawafaham kama yana tofauti kubwa au vipi.
mbona hamsemi NANILII BADALA NANIHII AU HAMULI BADALA YA AMLI?