Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama akutengeneza hela na hainaga ushemeji ndio ishatoka hiyo ikirudi pancha.
Na vile anavuta bange tujiandae kupata picha zake akiwa kabaki kichwa akiilaumu Cloud's ndio wamemfanya avute unga.
Ila mistari ya singeli ni very simple sana. Uwe na uwezo tu wa kuwaconfuse wasikilizaji baas umetokasasa mziki wenyewe hauna jipya, yeye atalitoa wapi jipya, labda afanye marudio