Manfongo: Singeli imeniokoa, nilikuwa mkabaji

Watumishi wa umma wanatibiwa bure wao na familia zao mpaka kufa, mshahara mpaka kustaafu na pensheni mpaka kufa na mambo kibao!

Huwezi kufananisha watumishi wa umma na wahangaikaji kama hawa.......watumishi wa umma wanasota sana.....cheki mfano wa muosha magari pale town...kila gari elfu 4 au 3 kwa siku magari 20 au zaidi - kwa siku anaingiza elfu 60 au zaidi.....anawaacha mbali watumishi wengi tu wa umma
 
hongera,mshukuru Mungu kwa kipaji hicho. wajinga hawawezi kuelewa maana still wanakuponda
 
Huwa wajanja anapima kwanza wa kumkaba sio hovyo hovyo vinginevyo wanakuja wengi na style yao ile 20 ndani 20 nje.
 
Anaonekana anavuta ganja,halaf mi nampenda msaga sumu yupo wapi mbona kimyaa "haya lowassa huyo ,kipenzi cha watu huyo napenda nyimbo zake
Yupo tena ana single mpya "unanitesa shemeji" bonge la ngoma
 
Apambane tuu, ila majigambo kwa nyimbo moja atakufa kibudu, nimemsikia akijigamba bongofleva wajitathmini upya atachukua mashabiki wao.... najiuliza nani atamfata apige nae kolabo!?
Shishi bby
 
Anaonekana anavuta ganja,halaf mi nampenda msaga sumu yupo wapi mbona kimyaa "haya lowassa huyo ,kipenzi cha watu huyo napenda nyimbo zake
kaimba kawimbo kazuri
katafute jina sijakapata
sema hizi sio zama zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…