Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,569
- 6,165
Mkuu pesa za uzeeni za nini?acha ujinga wewe,mtumishi ana pensheni akizeeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pesa za uzeeni za nini?acha ujinga wewe,mtumishi ana pensheni akizeeka
kishakunywa sumu baada ya kuasaga wanywaji wakakosa kaamua kunywa mwenyeweAnaonekana anavuta ganja,halaf mi nampenda msaga sumu yupo wapi mbona kimyaa "haya lowassa huyo ,kipenzi cha watu huyo napenda nyimbo zake
Mtumishi yupi wa umma!?Sasahivi Manifongo ana pesa chafu ana wazidi hadi watumishi wa umma wanaosubiri mpk mwisho wa mwezi..
Na wasi wasi na we usije ukawa mkabajiJAMAA WA MTAA HUYU KAKABA SANA HAPA MIGO NA AMEPONEA KUCHOMWA MOTO
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] weweeee, huoni sura ya kibaka hioHuyo naye alikuwa anamkaba nani? Labda wachuchu ndo alikuwa anawaonea!
Pengine alikua anakaba wagonjwa wanaowahi foleni za hospitali asubuhi na mapema.Huyo naye alikuwa anamkaba nani? Labda wachuchu ndo alikuwa anawaonea!
ha ha ha ha ha ha haNa wasi wasi na we usije ukawa mkabaji
Alikuwa anapiga roba ya mbao na mitamaHuyo naye alikuwa anamkaba nani? Labda wachuchu ndo alikuwa anawaonea!
Kasoro waalimuSasahivi Manifongo ana pesa chafu ana wazidi hadi watumishi wa umma wanaosubiri mpk mwisho wa mwezi..