Hata kama jugde hakuwepo,pale alitakiwa awe makini. Nadhan kesi ilipoanza kumuelemea akili aliipata simu hakuonekana nayo zaidi ya kuweka pozi la huruma na kulia
Hahahaa eti mawakili wa serikali vilazadaah wakiona post hii wabadilike bana wanaitia serikali hasara
Kuchamba ndio nini??? hilo neno kama lina ukakasi kwangu. lolSa @culturegal unanichamba au unanipa fact maana hlo neno kwa taalifa yako sijalielewa
Naomba nikusamehe maana watu mliopoteza marinda tangu utotoni hua mnahangaika sana.We mama ako anajiuza kwa watu gani kama sio Buguruni? Peleka huko lepwete lako ungejiamini ungeweka jina lako original, sura kama pinda
Alikuwa mtoto watu wazima waka take advantage kwa mtoto mdogo maana mtoto mdogo rahisi kudanganyika...Kama lulu alikuwa mtoto alikuwa anafanya nini kwa kanumba usiku mkali? Watoto wote saa 2 wako makwao.
OK saw ila unajua kwamba huyo unamwita kigagula ana elimu kubwa ambayo awez lala njaa hata kule alipoKuchamba ndio nini??? hilo neno kama lina ukakasi kwangu. lol
Anyway nilikua nakupa fact, umuelewe huyo kigagula mwenye stress za kuachwa matokeo yake kila mtu anamuona mchawi wake.
Elimu kubwa ya kujiuza Dubai hadi akampata huyo mzungu na kumganda kama ruba hadi kuzaa nae na baadae kutemwa kama Big G ya sh.100 au Elimu kubwa ya kushinda mitandaoni na kutukana watu ili apate followers wengi??OK saw ila unajua kwamba huyo unamwita kigagula ana elimu kubwa ambayo awez lala njaa hata kule alipo
Nikuombe mkuu usi mention jina la nguva au babu seya koz sjui kama una uhakika kama alibakaAlikuwa mtoto watu wazima waka take advantage kwa mtoto mdogo maana mtoto mdogo rahisi kudanganyika...
Sawa na vile vitoto vya babu seya tu
Tuache personal issue koz everyone ana weakness zake...tuje kwenye shule ana master's na exposure za kutosha [HASHTAG]#sioNAmtetea[/HASHTAG] ila nakupa nayoyajuaElimu kubwa ya kujiuza Dubai hadi akampata huyo mzungu na kumganda kama ruba hadi kuzaa nae na baadae kutemwa kama Big G ya sh.100 au Elimu kubwa ya kushinda mitandaoni na kutukana watu ili apate followers wengi??
Bro, don't abuse the word ELIMU.
Unaona kwamba unaongozwa na hisia, unaamini mahakama kuwa itamkuta na hatia lulu ukiamini aliua ila hiyo hiyo mahakama huiamini kwa kilichotokea kwa babu seya.Nikuombe mkuu usi mention jina la nguva au babu seya koz sjui kama una uhakika kama alibaka
Hata viongozi wanaoburunda wana PhD lakini hawana exposure na kama wanayo haijawasaidia wanazidiwa na Bakhresa ambaye hata degree hana lakini anafanya vitu vizuri kuliko wao.Tuache personal issue koz everyone ana weakness zake...tuje kwenye shule ana master's na exposure za kutosha [HASHTAG]#sioNAmtetea[/HASHTAG] ila nakupa nayoyajua
Kweli kabisa ni hatari sana kwa mwehu mmoja anayeaminiwa na kundi la watu ni hatari kuliko bomu la nuclear.Mange ni mtu hatari sana, Serikali aijajua tu, ogopa sana the power of stupid people in large group ,.
Ana Masters ya nini???Tuache personal issue koz everyone ana weakness zake...tuje kwenye shule ana master's na exposure za kutosha [HASHTAG]#sioNAmtetea[/HASHTAG] ila nakupa nayoyajua
Kwa nguva hapana nawaza maana sio kila aliye jela kweli amekosa koz kuna swala kubambikiwa kesiUnaona kwamba unaongozwa na hisia, unaamini mahakama kuwa itamkuta na hatia lulu ukiamini aliua ila hiyo hiyo mahakama huiamini kwa kilichotokea kwa babu seya.
Sisi watanzania tunakubariana na kitu pale tu kinapokuwa sawa na mapenzi yetu hatuhitaji facts wala evidences..
Akadanganyika kuwepo mitaani saa 6 usiku then kupoteza mawazo coco beach? Come on there’s no excuses. Alishayaanza muda na Kanumba hakuwa wa pili au 3 au 7,Alikuwa mtoto watu wazima waka take advantage kwa mtoto mdogo maana mtoto mdogo rahisi kudanganyika...
Sawa na vile vitoto vya babu seya tu
Sisi watanzania tunakubariana na kitu au mtu kinapokuwa sawa na mapenzi yetu otherwise hatukubari hata kama facts ziko wazi.Kwa nguva hapana nawaza maana sio kila aliye jela kweli amekosa koz kuna swala kubambikiwa kesi
Mtoto ni mtoto, maana yake mtoto ni vulnerable anaweza danganywa na mtu mzma maana hajakomaa kimaamuzi.Akadanganyika kuwepo mitaani saa 6 usiku then kupoteza mawazo coco beach? Come on there’s no excuses. Alishayaanza muda na Kanumba hakuwa wa pili au 3 au 7,