bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,012
- 741
Ana akiri nyingi sana.Hivi mange ana nini lakini?
Hahaha... pamoja mkuuNesindiswaaaa!
Ukweli utabaki hapo hapo yule dem hajazaliwa huo mwaka unaodai.Mtoto wa sister wako kuonekana mdogo siyo kigezo cha lulu kutozaliwa mwaka 1996, mimi kuna dogo nimemzidi miaka 9, ila ukiniweka mimi na yeye, yeye anaonekana mkubwa zaidi yangu.
Nina mtoto ana miaka 3, watoto anaoringana nao wanaonekana wadogo sana kwake.
Kwahiyo kupinga alichosema baba na mama yake bila kuwahi kuona cheti chake, wala kushuhudia kuwa mama yake alikuwa mjamzito mwaka 1994 wala hukuwa leba, yani wewe evidence yako imekuwa based kwa kumringanisha na mtoto wa dada yako ni mwendelezo wa tabia ya kitanzania.
Lulu kwanza siku hizi ndo kawa na sura inayoonekana kakua, angalia hizo picha alizopiga uchi uchu kinaonekana kabisa ni kitoto tu kilichokuwa uchi mbele ya midume yenye tamaa...
Kwa hiyo kati yako na wazazi wake unataka tukuamini wewe?Ukweli utabaki hapo hapo yule dem hajazaliwa huo mwaka unaodai.
Wewe mwenyewe umesema ulipata leseni under age tena unasema tz kila kitu kinawezekana alafu inakuaje inakua ngumu kwako kufahamu inawezekana kua Rita wanaweza wakabumba cheti aonekane amezaliwa 1996 kwa madai ya wazazi wake? Hii inachekesha.
Nadhani kama ni lishe mtoto wa sister ndio angekua amemzidi Lulu umbo maana sio kwa maisha yale... hahahaKwa hiyo kati yako na wazazi wake unataka tukuamini wewe?
Kuna mtu humu pia kasema alikuwa anaishi karibu na mama yake lulu kipindi ana ujauzito wa lulu mwaka 1995..
Watoto wanazidiana lishe bwana...
hahahaha kweli aiseeeMange dishi limeyumba mule hakuna shughuli
Shoga yangu nakuona unatoa povu pole kimekupata dokoooo hahahahaa
hahahaha kweli aisee..Mange dishi limeyumba mule hakuna shughuli