Hahaha huyo mtoto hajazaliwa 1996 nakataa, mtu akisema 1994 sawa, na ukweli anaujua mwenyewe na hao wazazi wake, kama unaamini kweli alizaliwa 1996 sijui wazazi wake wamethibitisha ungekua ni ww mzazi let's say mwanao ndio Lulu usingefanya any means ili umuokoe? Kama ni mkweli mbona alijichanganya judge alivyohoji kuhusu leseni hapo juzi? Au na hiyo unahisi ameonewa?
Suala la Lulu kuzaliwa 1996 nalikataa kwa nguvu zote sababu enzi hizo anavuma kideoni home kulikua na mtoto wa sister yy amezaliwa 1996 na Lulu alionekana mkubwa kwa umbo na vingine vingi japokua mtadai Lulu amewahi kupata exposure ila ni UONGO KUA LULU KAZALIWA 1996