Mange anahatarisha ndoa za watu

Mange anahatarisha ndoa za watu

Msiwe mnamchokoza mange jamani,,mwishowe na sie tupachikwe hapo kwa page yake
Maraaa paaaaa.....mama Sabrina upo kweli list...hahahaaaàaaaaaaaa kaaa namuona baba flani yuko bize na makaratasi matatuuu
 
Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga

Mkuu wewe ni me au ke? Mbona kama umeumia sana kuhusu hako kadada afu umeumia kike
 
Ha ha ha ha "eti Sheikh Tito""

Mange ukimaliza huyu Tito........piga hii mihindi inaitwa HASANALIIIIIII, naona iko ingia anga zako. Yy iko potea njia kabisa. Jinga sana yy...
 
Ukiwauliza watanzania Lin waliruhusu akili zao kutawaliwa na huyu Dada hawajui yani sawa na mtu ambaye ajui Lin alianza kupenda kufanya masterbation na anajua inamadhara kwake
Sasa ww umefuata nn kwenye huu uzi? Si ungekuwa kwenye banda lako la kuku unaingiza hela!!
 
Ha ha ha ha "eti Sheikh Tito""

Mange ukimaliza huyu Tito........piga hii mihindi inaitwa HASANALIIIIIII, naona iko ingia anga zako. Yy iko potea njia kabisa. Jinga sana yy...
Heri kasitisha kutoa list inawezavunja ndoa zetu,mara paap!! mkeo kwenye list ya shehe tito kaliwa kiboga tobaa! Utaweka wapi sura yako.
 
Heri kasitisha kutoa list inawezavunja ndoa zetu,mara paap!! mkeo kwenye list ya shehe tito kaliwa kiboga tobaa! Utaweka wapi sura yako.
Sheikh alikuwa anakula Waislam wenzie!! Ndio anawadanganya kirahisi kumuona Sheikh ofisini...wangu RC ngumu sn aisee!!

Ila Sheikh nomaaa anakula tundu ndogo!! Ha ha ha
 
Sheikh alikuwa anakula Waislam wenzie!! Ndio anawadanganya kirahisi kumuona Sheikh ofisini...wangu RC ngumu sn aisee!!

Ila Sheikh nomaaa anakula tundu ndogo!! Ha ha ha
Kapigwa knockout tatu mzuka na malkia wa mitandao
 
Shekhe hakuwa anamjua Mange nafikiri
Yani kama una profile baya, usimchokoze Mange maana yeye akigusa button ya start tu, watu wanamwaga mambo Live
mambo ni motoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
mkuu honest is a good religion... moyo wako unautambua ukweli....hili la sheikh na Mange linaathari kubwa tu kwa mioyo ya waislamu ...hakuna kitu kinauma kama kutukaniwa mzazi au dini including viongozi wao mf.nabii Tito amewakwaza sana baadhi ya wakristo..may be its personal lakin yule ndugu ni kiongozi mkuu wa waislamu so ina pinch kiasi flani kusikia sheikh wako anafumua marinda wake za watu...it not easy to swallow
Hakuna kitu n kamo hicho mkuu, waislamu wengi wanafurahia mtu muovu kuanikwa uovu wake, mambo ni hivi, mambo ni motoooo
 
Ukiwauliza watanzania Lin waliruhusu akili zao kutawaliwa na huyu Dada hawajui yani sawa na mtu ambaye ajui Lin alianza kupenda kufanya masterbation na anajua inamadhara kwake
Mange ni platform tu , zile habari zinapelekwa na watanzania wenyewe
 
Shehe anatake advantage kama mke na mume wanamgogoro wameenda bakwata kusuliishwa,
Hahahaaa hivi mie siwezi kupata hicho cheo!
Hahahaaa ila mara nyingi wasuluhishi wa mahusiano uishia kukwapua mhusika
 
akili iliyozubaa ni karakana ya Shetani!



ina maana huyo mzibua choo ni huyu Sheikh anaechambana nae ama?
 
Huyu Mangereza ana kundi kubwa la wajinga nyuma yake. Trump was right after all.
 
Huyu Mangereza ana kundi kubwa la wajinga nyuma yake. Trump was right after all.

Tusimlaumu sana Mange, hivi ume -stop hata kwa dakika tano na kuwasoma watanzania wengi vizuri?

Ukweli mchungu, we are in for a storm! Mageuzi yanayoendelea kwingineko duniani (human evolution via technology & Life style) tunayapokea bila mchujo wala maandalizi ya aina yoyote!
Most of us Tanzanians kwa sasa dunia imetupiga mgongo kiasi kwamba the easiest way for us not to miss the 'world joy ride' is by joining in the bandwagon tena kwa mihemko ya hali ya juu na our safest wagon is the Internet!

Sasa unapompa mtu nguvu kubwa kama technology mikononi mwake bila maandalizi wala mchujo wa aina yoyote tarajia lolote la we za kutokea!

Note; (Watanzania WENGI sio wote)
 
Wabongo Wanajua Siri Nyingi Tu Lakini Wanaogopa Kufunguka Sababu Ya Kuepuka Misiba Ya Kujitakia, Sasa Inapotokea Mtu Ambae Kajitoa Ufahamu Anafunguka Kila Kitu Na Haogopi Mkono Wa Sheria Basi Wanamfikishia Taarifa Naye Anazitupia.
 
Back
Top Bottom