Anatoa na kuacha lakini akikuacha lazima uolewe. Single ladies bahati hiyo"wanawake " waliowahi kuwa wake zake... ina maana ameoa na kuacha, anaoa na kuacha, anaoa na kuacha, anaoa na kuacha.. rekebisha andiko lako!
mkuu honest is a good religion... moyo wako unautambua ukweli....hili la sheikh na Mange linaathari kubwa tu kwa mioyo ya waislamu ...hakuna kitu kinauma kama kutukaniwa mzazi au dini including viongozi wao mf.nabii Tito amewakwaza sana baadhi ya wakristo..may be its personal lakin yule ndugu ni kiongozi mkuu wa waislamu so ina pinch kiasi flani kusikia sheikh wako anafumua marinda wake za watu...it not easy to swallowMkuu hapa umechanganya. .Waislam hatupo kwenye hili tukio.
Ni lake menyewe na Dada ake Kimambi.
Unaweza ukajiua eti.Nasikitika kusema upo sawa kabisa. Wote tuna mauchafu yetu na mtu wa LA akikufumua, utaomba YESU RUDI haraka aimalize dunia hii. Pole zao wote.
Hii kesi inamuhusu shehe na mambo yake na ugomvi ni wake yeye kama yeye na mange na wala haingiliani wala kutuhusu waislamu wote.Mkuu hapa umechanganya. .Waislam hatupo kwenye hili tukio.
Ni lake menyewe na Dada ake Kimambi.
Nianze kwa kukiri ni kweli mimi nina IQ ndogo japo sio kichaa nalea vyema familia yangu napata kipato halali kwa elimu yangu ya wastani ,kama mkuu Great thinker sijakosea hili sio jukwaa lako wenye ma IQ makubwa kama yako wana chumba chao humu kimoja kinaitwa ''Great thinkers'' kingine ''Jamii intelligence'' huko huwa nikiingia nakuwa msikilizaji na kujifunza zaidi sipendi ukilaza wangu uwaharibie mjadala.Nadhani baada ya kutuambia kuwa Mange Kimambi anahatarisha Ndoa za Watu na Kuwadhalilisha Watu basi na Wewe pia ungekuja na ' supporting arguments ' zako ili uweze kutushawishi Sisi Great Thinkers ' tuliotukuka ' tukuamini kwa hizi shutuma zako / madai yako lakini bahati mbaya mno ni kwamba umekuja tu na ' umbea ' wako uliotusaidia Sisi kujua mapema uwezo wako wa IQ jinsi ulivyo mdogo kuliko hata ' punje ' ya mchele.
Nachukia kweli ' Mijitu ' ya ' hovyo hovyo ' iliyopo hapa duniani.
Usituonee huruma bana wewe huyo shekhe ni wa Ccm sio waislam wa waislam wa Tanzania muache avune alichopandai feel sorry for Muslims ....huwa najisikia vibaya sana kiongozi wangu wa dini akidhalilisha kwa namna yoyote ile...lakini ndo hivyo..ukicheza na tigo utapata tigo pesa ...ukicheza biko kuliwa lazima...ukicheza na nyani utavuna mabua....nadhani huyu sheikh hakuwashirikisha wenzake katika hili ilikua ni personal lakini sasa inaumiza sana Sana waumini wake....binafsi nilikua najiuliza huyu sheikh insta kafata nini?... Alafu alivyokua anaongea kuhusu mange na jf hv aliwahi kujiuliza au kujaribu kufuatilia ni mtu wa aina gan?? hakuona yale matusi na visa vyake? Siro wetu IGP mwenyewe alikaa chini hakuna alichomfanya......sasa leo sijui kama ni kweli bt lazima Shehe tumbo linavuruga coz Mange akikuchafua kujisafisha ni ngumu ngumu kupita kiasi... jiulize watu wanampenda mtu wasiyemjua na kumwamini...yale mafuriko ya followers hakuyaona? Angepata somo kwa Makonda B4 hajamuingilia Mange...today makonda ni among of the best RCs nchini lakini hata afanyake mangeism imeshamchafua sana kila anachofanya no one take it positive lazima wamnange tu...SHEHE POLE BELIEVE HILI NALO LITAPITA TU ...TUNAJIFUNZA KILA LEO NA ELIMU NI GHARAMA...NARUDIA TENA NDUGU ZANGU WAISLAMU POLENI SANA KWA HILI.
duh haya pole yake..next time hatarudia tenaUsituonee huruma bana wewe huyo shekhe ni wa Ccm sio waislam wa waislam wa Tanzania muache avune alichopanda
Jizime kwanza ww mbwa kabisaSerikali i invest kwenye technology mbona huyu mange twaweza mzima mazima tu na asirudi tena!
Hahaha hide my fekoro JF
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Titorapa kazua balaa
Duuh! Kumbe na wewe ni mdau wa kutoa firigisi?!!Msiwe mnamchokoza mange jamani,,mwishowe na sie tupachikwe hapo kwa page yake
Nauza bei kubwa kweliDuuh! Kumbe na wewe ni mdau wa kutoa firigisi?!!
Firigis n nn hio nme ingia mjini leoNauza bei kubwa kweli
Ahahahahahah tigoFirigis n nn hio nme ingia mjini leo
[emoji3] [emoji3] basi tufanye biashara hii kitu naitafuta kma alimasiAhahahahahah tigo
Labda imebuma kwa misukule ya da'Mange.